30.6 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

Pedro Goncalves; Rekodi za Angola kuibeba Yanga?

Na mwandishi wetu, GazetiniKLABU ya Yanga imemtangaza Pedro Goncalves kuwa kocha wake mpya na Mreno huyo anachukua mikoba ya Romain Folz aliyetimuliwa siku chache...

Dk. Judith Spendi: Uchumi na maendeleo yetu vimejengwa juu ya amani ya Tanzania

Mwandishi Wetu, Gazetini ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya Watanzania kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wito wa kudumisha amani na mshikamano umeendelea kutolewa...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JUMATANO ya wiki ijayo, Oktoba 29, Watanzania watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani. Ni haki ya Kikatiba inayotekelezwa kila baada...

Polisi Dar yaonya vurugu wakati wa uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini IKIWA zimesalia siku chache kabla ya Tanzania kufanya uchaguzi mkuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro,...

OSHA yahimiza viongozi wa wafanyakazi kulinda afya na usalama kazini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...

SGR yapata ajali, TRC yataja chanzo

Na Mwandishi Wetu Treni ya Mwendokasi (SGR) imeacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo Oktoba 23,2025 wakati...

Viongozi wa dini watoa tamko kuelekea Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na viongozi wa dini, imesema kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,...

Nauza kura yangu, nani atafika bei Oktoba 29?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMPENI zimeshika kasi. Ni siku chache tu zimebaki kuelekea Oktoba 29, siku ambayo Watanzania watatumia haki yao ya Kikatiba kupiga kura...

Kocha Stars: Pointi nne zinatosha AFCON

Na Hassan Mwasha, GazetiniKOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Hemed Suleiman, amesema pointi nne zinatosha kukivusha kikosi hicho hatua...

Kwanini Yanga wamemfungashia virago Folz?

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo...

Recent articles

spot_img