Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...
Na mwandishi wetu, GazetiniKLABU ya Yanga imemtangaza Pedro Goncalves kuwa kocha wake mpya na Mreno huyo anachukua mikoba ya Romain Folz aliyetimuliwa siku chache...
Mwandishi Wetu, Gazetini
ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya Watanzania kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wito wa kudumisha amani na mshikamano umeendelea kutolewa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JUMATANO ya wiki ijayo, Oktoba 29, Watanzania watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani. Ni haki ya Kikatiba inayotekelezwa kila baada...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
IKIWA zimesalia siku chache kabla ya Tanzania kufanya uchaguzi mkuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na viongozi wa dini, imesema kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMPENI zimeshika kasi. Ni siku chache tu zimebaki kuelekea Oktoba 29, siku ambayo Watanzania watatumia haki yao ya Kikatiba kupiga kura...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Hemed Suleiman, amesema pointi nne zinatosha kukivusha kikosi hicho hatua...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo...