27.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Rais Mwinyi ateua Mawaziri, Wizara nne zawasubiri ACT Wazalendo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza uteuzi Mawaziri 20, watakaunda Baraza jipya litakalosimamia...

Morice Abraham; Kivuli cha ‘Miquissone’ kinachoipa jeuri Simba

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA siku za hivi karibuni, jina la Morice Abraham limekuwa kwenye mijadala ya soka hapa nchini na kwa sasa ni kipenzi...

Bunge lamthibitisha Dk. Mwigulu kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, asubiri uapisho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania akichukua nafasi ya Kassim Majaliwa,...

Dk. Mpango: “Sauti ya NEMC isiwe ya mtu aliye nyikani”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ametoa wito kwa Serikali kuongeza nguvu na mamlaka zaidi kwa Baraza la...

Hawa ndiyo AS FAR watakaomenyana na Yanga makundi CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wako Kundi B msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo wamepangwa na Al Ahly ya Misri, AS FAR (Morocco)...

Zungu atakwepa mtego huu kiti cha Spika?

Na Hassan Mwasha, GazetiniNI rasmi sasa Mussa Hassan Zungu ndiye Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akichukua nafasi ya...

Yanga yaizima KMC, yaing’oa Simba kileleni

Na Hassan Mwasha, GazeiniHATIMAYE ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya KMC umeirejesha Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Matokeo hayo yamaeifanya...

Barua ya wazi kwa ‘Goli la Mama’

Na mwandishi wetu, Gazetini KWAKO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Nianze kwa kupongeza juhudi za Serikali yako katika kupigania...

Yanga, Simba na vita ya Bil. 9/- za Caf

Na Mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuingia hatua ya makundi, sasa klabu za Simba na Yanga zimesogelea utajiri wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.Yanga,...

Kufanya vizuri AFCON, kupanga ni kuchagua!

Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA miaka sita ya hivi karibuni, timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imefuzu mara tatu fainali za Mataifa...

Bado makocha wazawa hawana nafasi Simba, Yanga?

Na Hassan Mwasha, GazetiniHIVI karibuni, klabu kongwe zaidi za soka nchini, Simba na Yanga, zilitangaza makocha wapya. Simba ilimuajiri, Dimitar Pantev, wakati Yanga walimpa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

Recent articles

spot_img