Na Hassan Mwasha, GazetiniKOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Hemed Suleiman, amesema pointi nne zinatosha kukivusha kikosi hicho hatua...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo...
*Ujenzi wake wafikia asilimia 74.3
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Tanga
UJENZI wa Daraja la Pangani mkoani Tanga, lenye urefu wa mita 525 pamoja na barabara unganishi na...
Na Hassan Mwasha, GazetiniYANGA wamemtambulisha kocha mpya, Patrick Mabedi, ambaye amejiunga na benchi la ufundi kufanya kazi chini ya Romain Folz. Ifahamike kuwa Yanga...
Na mwandishi wetu, GazetiniLEO hii, kama ni 'mateka' wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa na Azam TV, basi tunaweza kusema unaiishi dunia yenye kumbukumbu nzuri...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarak Alhaji Batenga, amefafanua mikakati kabambe ya kuimarisha shughuli za uchimbaji madini wilayani humo, ikiwemo ujenzi...
Na Hassan Mwasha, GazetiniUKITUPA macho kwenye msimamo, Singida Fountain Gate iko mkiani ikiwa imezibeba timu zingine 19 zinazoshiriki msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Iko...
Na Hassan Mwasha, GazetiniUKIACHA Simba, Singida Black Stars ndiyo timu pekee ambayo si tu haijafungwa, bali pia imeshinda mechi zote ilizoshuka dimbani msimu huu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha
UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...