29.9 C
Dar es Salaam

Jamii

Infographic| Ukeketaji bado haujaisha

Ukeketaji ni kitendo cha kimila kinachotekelezwa na baadhi ya jamii ambapo sehemu ya nje ya via Ukeketaji ni kitendo cha kimila kinachotekelezwa na baadhi...

Visual| TB bado ni janga nchini

Pamoja na nguvu kubwa ambayo imekuwa ikitumika na Serikali ya Tanzania katika kutokomeza Kifua Kikuu lakini takwimu zinaonyesha kwamba bado kuna kazi kubwa ya...

Infographic| Ugumu uliopo mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

Tanzania imekuwa ni kati ya nchi zinazopambana kwa dhati kuhakikisha kuwa inafikia sehemu nzuri ya udhibiti wa dawa za kulevya kama si kumaliza kabisa...

Infographic| Tunayofahamu kuhusu hali ya Saratani nchini

*Mapambano ya saratani ya mlango wa kizazi yaendelea “Kupima saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake ndio mpango mzima…tupambane tuishinde isiue mtu. Mko wapi akina...

Infographic| Tanzania tuko wapi chanjo ya Uviko-19

Tanzania imepokea dozi nyingine 800,000 za chanjo ya Uviko-19 aina ya Sinopharm kutoka Serikali ya China. Waziri wa Afya, Ummy Malimu, amesema kuwa: "Tumepokea chanjo...

Visual| Tunayofahamu kuhusu mwaka mpya wa masomo Tanzania

Mwaka mpya wa masomo nchini Tanzania umeanza tangu Jumatatu Januari 17, 2022 ambapo shule za Elimu Msingi na Sekondari zimefunguliwa. Upekee ulioshuhudiwa kwa mwaka huu...

Visualization| Mwarobaini wa madarasa shule za sekondari

SERIKALI imekamilisha ujenzi wa madarasa 15,000 kwa asilimia 95 katika mikoa yote ya Tanzania bara, huku asilimia chache ikisalia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo...

Visual| Ugumu wa maisha unavyosukuma vijana kwenye janga la UKIMWI

Na Faraja Masinde, Gazetini "Nilivyompigia simu akanitumia meseji akisema kuwa 'Ushawahi kuona wapi mdomo uliooza ukatoa jino salama' nilimuuliza unamaanisha nini akaniambia wewe unamaradhi, nikamjibu...

Makala: Wazazi, wadau wataka fursa nyingine waliokatizwa masomo kwa mimba

CHANGAMOTO za maisha ikiwamo ukosefu wa mahitaji muhimu kwa wasichana walioko shule ni moja ya vichochezi vinavyosababisha wengi kuishia kupata ujauzito hali inayokosesha fursa...

Ripoti| Mitandao inavyogeuka tishio maisha ya watu

LICHA ya ujio wa mitandao ya kijamii kuwa na faida nyingi katika nyanja mbalimbali, ikiwamo ya kiuchumi, ukweli usio na shaka ni kwamba imekuwa...

Infographic| Mazingira ya elimu kwa Wanafunzi wenye Ulemavu Tanzania

Ripoti ya Utafiti juu ya Upataji Elimu ya Awali kwa Watoto wenye Ulemavu Tanzania Bara, iliyozinduliwa Septemba, 2021 na Shirika la Haki Elimu Tanzania uliohusisha maeneo matatu...

Recent articles

spot_img