27.2 C
Dar es Salaam

AFYA

Visualization| Dawa za kulevya na mapambano yake Tanzania

Tatizo la Dawa za Kulevya lina madhara makubwa katika Maisha ya wananchi, uwezo wa raslimali watu na maendeleo endelevu ya nchi. Kwa kutambua athari hizo...

Infographic| Hali ya maambukizi ya VVU nchini

Akichambua ripoti ya utafiti uliofanyika juu ya maambukizi ya VVU Tanzania (Tanzania HIV Impact Survey) 2016-2017, Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dar es...

Infographic| Unyanyapaa, tabia hatarishi bado ni mwiba mapambano VVU

PWANI, TANZANIA UNYANYAPAA na ubaguzi umetajwa kuwa bado ni kikwazo katika mapembano dhidi ya UKIMWI nchini. Hayo yamebainishwa hivi karibuni kwenye Warsha ya siku tatu ya...

Infographic| Mabegi yanavyoacha maumivu kwa wanafunzi

Kwa miaka ya karibuni imekuwa ni kawaida kukutana na wanafunzi hususan wa elimu msingi wakiwa na mabegi makubwa mgongoni wakati wa kwenda na kurejea...

Infographic| Mafanikio yaliyofikiwa uzalishaji maji nchini

Kwa miaka ya karibuni sehemu kubwa ya miji ya Tanzania imeendelea kupata huduma muhimu ya maji. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)...

Miaka 60 ya Uhuru| Tanzania ilivyosukwa

DESEMBA 9 kila mwaka, ni kumbukizi ya uhuru wa Tanzania kutoka kwa Waingereza na kwa mwaka huu itakuwa ni miaka 60 tangu ilipojitoa kwenye...

Infographic| Tanzania ilivyonufaika na Trilioni 1.3

Kwa sasa unaweza kusema ni kama vyuma vimeachia! Hii ni kutokana na miradi yenye thamani ya Sh trilioni 1.3 itakayotekelezwa na Serikali ya Rais...

Infographic| Jitihada za kutokomeza Saratani ya Mlango wa Kizazi Tanzania

Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Saratani ni mabadiliko ya ukuaji wa seli au chembechembe hai na...

Visualization| WaterAid inavyojali afya, usafi Dar es Salaam

KATIKA kuadhimisha Siku ya Kunawa Mikono Duniani, shirika lisilo la kiserikali la WaterAid Tanzania, limekabidhi vituo 12 vya kunawia mikono kwenye maeneo tofauti jijini...

Visualization| WaterAid inavyokumbusha umuhimu wa maji

Ripoti mpya ya Shirika la Afya Dunaini(WHO) na Shirika la Kuhudumia Watoto Ulimwenguni (UNICEF), iliyotolewa kwenye Siku ya Kunawa mikono Duniani, inaonyesha kwamba...

Infographic| Homa ya uti wa mgongo ni nini?

KWA sasa, ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ni tishio barani Afrika, kwa mujibu wa Shirika la Afya la Kimataifa (WHO). Jamhuri ya...

Recent articles

spot_img