Na mwandishi wetu, Gazetini
SPIKA wa Bunge, Mussa Zungu, amewapa siku nne za kujieleza wabunge waliokwenda Morocco kuitazama timu ya soka ya Taifa ya vijana...
LAGOS, Nigeria
IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki.
Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...
LONDON, Uingereza
NI siku 10 tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Wakati Argentina...
PANAMA CITY, Panama
FAINALI za Kombe la Dunia ziko njiani, zikiwa zimebaki siku tisa pekee kuanza kushuhudia mataifa 48 yakitoana jasho kwa kipindi cha mwezi...
ISTANBUL, Uturuki
KLABU ya Galatasaray ya Ligi Kuu nchini Uturuki imeweka wazi dau la mshambuliaji wake wa kati anayetakiwa Chelsea, Victor Osimhen.
Galatasaray wametangaza kuhitaji euro...
MADRID, Hispania
Kiungo wa Manchester City, Rodrigo Hernández, amesema kwa sasa anaelekeza akili yake kwenye fainali za Kombe la Dunia, licha ya kuzisikia tetesi za...
MEXICO CITY, Mexico
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea...
PRAGUE, Czech
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...
SEOUL, Korea Kusini
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea...
LONDON, Uingereza
SIKU zinazidi kusogea na sasa zimebaki tisa tu kabla ya filimbi ya kwanza kupulizwa msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza...