LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Petit, amesema ni jambo lisiloepukika kwa Mikel Arteta kuondoka klabuni hapo.
Wakati huo huo, Mfaransa huyo amemshauri Arteta...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HUENDA ukawa unachukulia poa, lakini tabia ya kufuatilia kila anachoweka mpenzi wako wa zamani (ex) huko mitandaoni kunaweza kukusababisha matatizo ya...
LUSAKA, Zambia
FAMILIA ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imekanusha madai kuwa mwanasiasa huyo alikuwa kwa sumu.
Lungu hajazikwa tangu alipofariki Juni, 2025 akiwa...
MADRID, Hispania
NI tofauti ya pointi mbili tu. Real Madrid wako kileleni mwa msimamo, wakati Barcelona wako nyuma yao wakiwa na pointi 58, huku kila...
WASHINGTON DC, Marekani
VATICAN imeweka wazi kuwa haitakuwa sehemu ya Bodi ya Amani ya Rais Donald Trump, licha ya kukiri kupokea mwaliko.
Awali, Bodi hiyo ililenga...
MOSCOW, Urusi
"MAISHA yamekuwa ghali mno." Ni kauli ya Alexander, mkazi wa mjini Moscow, ambaye ni mtaalamu wa moja ya kampuni kubwa za matangazo nchini...
GENEVA, Uswis
MAZUNGUMZO yanayoendelea kati ya Ukraine, Urusi na Marekani mjini Geneva yamemalizika, ingawa hakuna mwafaka uliofikiwa.
Marekani ikiwa msuluhishi, inajaribu kumaliza vita vilivyodumu kwa miaka...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Barcelona sasa ina kazi ngumu kumbakiza Marcus Rashford baada ya Manchester United kusema straika huyo hauzwi.
Barcelona ilimchukua kwa mkopo wa msimu...
LONDON, Uingereza
KLABU za Arsenal na Chelsea zimepata pigo kubwa baada ya watu wa karibu wa Julian Alvarez kusema nyota huyo anaitaka Barcelona.
Ripoti zilizopo zinaeleza...
RABAT, Morocco
YAKIWA ni maandalizi ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2030, mbwa milioni tatu wameuawa nchini Morocco na kusababisha wanaharakati wa haki...
RABAT, Morocco
DROO ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho imechezeshwa leo Februari 17, 2026 mjini Rabat.
Je, droo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za Watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere...