NEW DELHI, India
MASHABIKI wa Lionel Messi wamekasirishwa na hatimaye kuamua kung'oa viti baada ya kunyimwa fursa ya kumuona kwa muda mrefu staa huyo wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani.
Katika utafiti wao, wamebaini...
MERSEYSIDE, England
KATIKA ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton, straika wa Liverpool, Hugo Ekitike, alifunga yote na kuandika historia mpya msimu huu wa Ligi...
MANCHESTER, Uingereza
ZIMEIBUKA ripoti zinazoihusisha Manchester United na beki wa kati wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania, Sergio Ramos.
Ramos mwenye...
LONDON, Uingereza
MASHABIKI wa soka duniani kote wameendelea kulalamikia bei kubwa ya tiketi za kuingia uwanjani wakati wa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani.
Kwa...
NAIROBI, Kenya
MWANAHARAKATI wa mazingira nchini Kenya, Truphena Muthoni, amevunja rekodi yake ya kukumbatia mti, safari hii akitumia siku tatu (saa 72) mfululizo.
Muthoni amefanya hivyo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ULIMWENGUNI kote, serikali zinaendelea kujadili umri unaofaa kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, huku baadhi zikianzisha vikwazo vipya vya umri ili...
LONDON, Uingereza
UNAMKUMBUKA Bruno Lage? Aliwahi kufanya kazi Ligi Kuu ya England akiwa na Wolves lakini sasa hana kibarua tangu alipofukuzwa Benfica na nafasi yake...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
BONDIA Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’ hadi aombe maji ulingoni.
Bokya...
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwa linamshikilia Waziri wa zamani, Geoffrey Mwambe, kwa tuhuma za jinai...
MANCHESTER, Uingereza
MPACHIKAJI mabao wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amefichua alivyowahi kupokea vitisho vya kuuawa baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea Everton.
Mwaka...