27.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Raia  nchi 71 kuingia Tanzania bila viza

Na Mwandishi Wetu Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Hayo yamesemwa na...

Wizara ya Fedha yaoamba Sh 20.19  trilioni,  deni la Serikali  10.19 trilioni zimelipwa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la  Tanzania kuidhinisha Sh 20.19  trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...

Waziri Mchengerwa atoa rai kwa walimu

Na John Mapepele  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza...

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yatakiwa kutanua wigo wa kazi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...

Mama Yoyo ya Dully Sykes yazidi kumpaisha YJ Kiboko

Na Mwandishi Wetu BAADA ya kimya cha muda mrefu, staa wa Bongo Fleva Yakuti Joseph a.k.a YJ Kiboko ameibuliwa upya na kolabo yake na mkongwe...

Elimu bila malipo kuendelea, kuboresha mazingira ya wanafunzi 2025–2030

Na Jonathan Benedict, Gazetini Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2025–2030, kimeweka mkazo mkubwa katika kuboresha maisha ya watoto wa...

NMB ilivyonogesha Pugu Marathon 2025 , zaidi ya wanariadha 6000 wajitokeza

Na Mwandishi Wetu IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...

Ilani ya CCM: Malezi na ulinzi wa mtoto kuimarishwa

Na Jonathan Benedict, Gazetini Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka dhamira ya dhati ya kuimarisha ulinzi, malezi na maendeleo ya watoto kupitia Ilani yake ya Uchaguzi...

IWPG hosts online workshop to raise women’s awareness of peace in Lebanon

The International Women’s Peace Group (IWPG), through its Global Region 2 led by Director Seoyeon Lee, successfully held an online peace workshop on May...

Serikali yasisitiza Dabi iko pale pale Juni 15

Na Mwandishi Wetu Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani  hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...

Dk.Samia atoa agizo kwa wanaochuja wagombea, asema Magwajima yaachwe nje

Na Mwandishi Wetu Mwenyewekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan,  amewataka wanaochuja wagombea wa uchaguzi...

CCM yaahidi kukamilisha Katiba mpya, kuzalisha ajira milioni 8

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika utekelezaji wa Ilani Mpya ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2025/30, Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya CCM Prof. Kitila...