32.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Serikali yaboresha hifadhi ya Makuyuni kwa maendeleo ya utalii

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea na juhudi za kuboresha Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park mkoani Arusha,...

REA kusambaza mitungi 22, 000 ya gesi Tabora kwa Sh milioni 455

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetenga kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi 22,785 mkoani Tabora,...

Nyerere’s Footsteps, Samia Urges G20 to Rethink Global Economic Systems

By Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil President Samia Suluhu Hassan has rekindled the enduring vision of Tanzania’s founding father, Mwalimu Julius Nyerere, by challenging the...

Visual| Miaka mitatu ya Rais Samia katika sekta ya madini

Na Mwandishi Maalum-Gazetini Tume ya Madini imetoa tathmini ya mafanikio yaliyopatikana katika Sekta ya Madini tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani. Mafanikio hayo yanajumuisha...

Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

Serikali yatenga Bilioni 45.1 kudhibiti migongano ya binadamu na wanyamapori 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imetenga Shilingi bilioni 45.1 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kudhibiti migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini,...

DCEA: Wanawake wateja wakubwa wa Skanka, wanatumia kupunguza mawazo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uchunguzi uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) umebaini kuwa wanawake ndiyo wateja wakubwa  wa dawa...

IWPG Global Region 2 Engages in Online Peace Discussion with Beirut Times

IWPG (International Women’s Peace Group) Global Region 2, led by Regional Director SeoYeon Lee, held an online meeting with Josiane Hajj Moussa, Chief Editor...

Morocco’s King Hosts Dinner Banquet Honouring French President Macron and First Lady

Rabat, Morocco KING Mohammed VI of Morocco, accompanied by members of the royal family including Crown Prince Moulay El Hassan, Prince Moulay Rachid, and Princesses...

Wafanyabishara wa betri chakavu zingatieni kanuni za usalama wa mazingira-NEMC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wafanyabiashara wa betri chakavu kuzingatia kanuni na maelekezo waliyopewa katika...

TACAIDS yahimizwa kuongeza kasi ya huduma za VVU na UKIMWI kwa jamii za wavuvi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeitaka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kuongeza juhudi katika...

Serikali yasisitiza umuhimu wa kuondoa madini ya risasi kwenye rangi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuhimiza hatua za kuondoa madini ya risasi kwenye rangi, likisisitiza madhara makubwa ya kemikali hiyo...