Na Mwandishi Wetu
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewaambia wasuasi na viongozi wa chama hicho kuwa wajiandae kwani akitoka ni mchakamchaka.
Lissu amezungumza hayo leo Julai...
Na Mwandishi Wetu
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kada wa chama hicho, Esther Bulaya amesema alikuwa Chadema kwa mkopo...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Klabu ya Yanga Sh 100 milioni kwa kutambua ushindi na...
Na Mwandishi Wetu
Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi amesema atafanya kazi aliyotumwa na Rais Samia Suluhu Hassani na hataruhusu kikwazo chochote kitakachojaribu kuzuia maendeleo ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, amesema kuwa hadi kufikia Juni 28, 2025 — zikiwa zimebaki siku chache...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam
Katibu tawala wilaya ya Kinondoni - DAS, Warda Abdallah ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuibua na kulea...
PARIS, UfaransaSHERIA mpya nchini Ufaransa inapiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya fukwe, shule na maegesho ya magari.
Kwa mujibu wa sheria, atakayekiuka, basi...
KAMPALA, Uganda
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameweka wazi mpango wake wa kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mapema mwakani.
Rais Museveni, ambaye sasa ana...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema tayari ana matajiri wake wanaoweza kuununua mtandao wa kijamii wa TikTok, ambao umepigwa marufuku nchini humo...