26.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

PSG wajitosa kwa Rodrygo

PARIS, UfaransaVIGOGO wa Ligue 1, PSG, wameingia rasmi katika mBio za kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil,...

P. Diddy akwaa kisiki, arudishwa gerezani

NEW YORK, MarekaniSTAA wa muziki wa Hip hop, Sean Combs 'P. Diddy', amekwaa kisiki katika kesi zinazomkabili baada ya juzi kunyimwa dhamana.P. Diddy anasota...

Hazard amshangaa Giroud

LILLE, UfaransaSTAA wa zamani wa Chelsea, Eden Hazard, ameeleza kushangazwa na namna Olivier Giroud anavyoendelea kucheza kwa kiwango cha juu, licha ya umri wake...

Guardiola kuchukua kipa Barca

MANCHESTER, EnglandKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amewataka mabosi wake kuhakikisha wanainasa saini ya mlinda mlango wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen.Man City, baada ya...

Sterling kutimkia Saudia?

LONDON, EnglandKLABU za Ligi Kuu ya Saudi Arabia zinapigana vikumbo kuiwania saini ya winga wa Chelsea, Raheem Sterling.Sterling aliyecheza kwa mkopo Arsenal, ameshaambiwa wazi...

Mhudumu wa mochwari mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyohisiwa kuwa ni vya binadamu katika nyumba moja...

Majaliwa  aaga Ruangwa

Na Mwandishi Wetu Waziri mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la...

Pirates wamtengea Kanoute bil. 1.4/-

PRETORIA, Afrika KusiniVIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Orlando Pirates, wanaitaka saini ya kiungo wa zamani wa Simba, Sadio Kanoute.Kwa mujibu wa kile...

Watumishi wa Umma watakiwa kujifunza kwa bidii kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi, amewahimiza watumishi wa umma kujenga utamaduni wa...

Tembocard ni Shwaa yampa gari Rahabu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Benki ya CRDB imesema kampeni ya kuhamasisha matumizi ya kidigitali katika kufanya miamala kupitia kadi ya Tembocard imekuwa na mafanikio makubwa. Kampeni...

Kagera yafanya mageuzi makubwa ya maendeleo

Na Ramadhan Hassan, Dodoma Mkoa wa Kagera umeandika historia mpya ya maendeleo kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025, kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya...

Aliyekuwa akiombewa amuua mchungaji wake kwa panga

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya...