23.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Diddy aanza masomo akiwa gerezani

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mwenye jina kubwa, P. Diddy, ameanza kuhudhuria darasa maalumu akiwa anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kingono.Ripoti zinaeleza kuwa...

Watatu jela kifo cha rapa

GONTHENBURG, SwedenWANAUME watatu wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu gerezani baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya kumuua kwa kumpiga risasi mwanamuziki wa Hip...

Rais Samia atoa  wito utekelezaji Dira ya Taifa 2050, afurahishwa na Dk. Mpango

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ambapo ametoa maagizo kwa taasisi za umma na sekta...

Ally Kamwe akiri kuvutiwa na TshabalalaNa Mwandishi Wetu

Na Mwandishi Wetu Ofisa Habari wa klabu  ya Yanga Ally  Kamwe amesema licha ya kuwa yupo upande mwingine lakini ni shabiki mkubwa wa wachezaji  wa Simba, Mohammed Hussein...

Jesus amfuata Ronaldo, afunguka

RIYADH, Saudi ArabiaKLABU ya Al Nassr ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia imemtangaza Jorge Jesus kuwa kocha wake mkuu.Ni miezi isiyozidi mitatu tangu Mreno...

Kocha United apewa mikoba Oman

MUSCAT, OmanALIYEWAHI kuwa kocha msaidizi wa Manchester United wakati ule wa Alex Ferguson, Carlos Queiroz, ametangazwa kuwa mkuu wa benchi la ufundi la timu...

Yamal aingia matatani kisa ‘birthday’

CATALUNYA, HispaniaSTAA wa Barcelona, Lamine Yamal, anachunguzwa kwa kile alichokifanya wakati wa sherehe ya 'birthday' yake ya kutimia umri wa miaka 18.Katika sherehe hiyo...

Isak kuvunja rekodi Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufungua pochi na kumsajili mpachikaji mabao wa Newcastle United, Alexander Isak.Inaelezwa kuwa Liverpool wamepanga kumfanya Isak kuwa mchezaji wa...

Simulizi ya kusikitisha maisha ya Gaza

LONDON, UingerezaACHANA na mashambulizi ya makombora yanayotupwa kila uchwao na Israel, raia wa Palestina walioko katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na shida nyingine kubwa...

Chelsea wana nafasi ubingwa EPL 2025-26?

LONDON, EnglandBAADA ya kutwaa mataji ya Conference League, Chelsea walihitimisha furaha yao wikiendi iliyopita kwa kuifunga PSG mabao 3-0 na kubeba ubingwa wa Kombe...

Paul Biya na ‘ulevi’ wa madaraka Cameroon

YAOUNDE, CameroonHATUA ya Rais wa Cameroon, Paul Biya, kutangaza nia ya kugombea tena katika Uchaguzi Mkuu ujao imeonekana kuzua mjadala mkubwa katika siasa za...

Nkane, Kibwana wajitosa kwenye ndondi, kuzichapa Julai 26 Dar

Na Mwandishi Wetu Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa ngumi ambapo Julai 26, 2025 wanatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa katika...