24.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Ajali yaua wanafunzi kidato cha sita Rorya

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Watu saba wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa kidato cha sita wa shule ya Sekondari Songe, Musoma baada ya gari Toyota Succeed walilokuwa wakisafiria...

Simba Day ina wenyewe bwana!

Na Winfrida Mtoi, Gazetini MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha Simba Day leo Septemba 10, 2025, burudani kutoka kwa...

Cape Verde bado pointi 3 tu kutinga Kombe la Dunia

PRAIA, Cape VerdeUSHINDI wa nyumbani wa bao 1-0 dhidi ya Cameroon unaifanya timu ya taifa ya Cape Verde iwe kwenye nafasi nzuri ya kufuzu...

Mke wa Gbagbo kugombea urais Ivory Coast

YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastMKE wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, ni miongoni mwa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.Simone Gbagbo mwenye umri...

Ufaransa yapata Waziri Mkuu mpya

PARIS, UfaransaRAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amemtangaza Sebastien Lecornu kuwa Waziri Mkuu mpya akichukua nafasi ya Francois Bayrou.Lecornu mwenye umri wa miaka 39, alikuwa...

Wananchi wachoma Bunge, Waziri Mkuu ajiuzulu

KATHMANDU, NepalMAANDAMANO ya wananchi wenye hasira kali yamepelekea kuchomwa kwa ofisi za Bunge nchini Nepal, hatua iliyosababisha Waziri Mkuu kujiuzulu.Hasira za wananchi zimetokana na...

Taifa Stars yapigwa nyumbani, matumaini kucheza kombe la dunia yafifia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wake dhidi ya Niger uliopigwa leo Septemba 9, 2025 katika Dimba la...

Serikali yasimamisha mchakato uchaguzi TOC

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesitisha mchakato wa uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), uliopangwa kufanyika Oktoba 4,...

Chikomo, Dk. Otaru waibeba Tanzania mapambano dhidi ya ukame, mmomonyoko wa ardhi

-Wakiwa viongozi wa JET, sasa wanaiwakilisha Tanzania katika nafasi za juu za Umoja wa Mataifa chini ya mkataba wa UNCCD. Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania imeendelea...

Afya yamzuia Duterte kupanda kizimbani ICC

THE HAGUE, UholanziMAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imehairisha usikilizaji wa mashitaka yanayomkabili Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte.Kwa mujibu wa wanasheria wake,...

Zikijichanganya tu, zinashuka daraja EPL

LONDON, EnglandNI mapema mno lakini tayari baadhi ya klabu zinaonesha dalili ya kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Ikumbukwe, timu...

Dili hizi ziligonga mwamba usajili kiangazi Ulaya

LONDON, UingerezaTUKUTANE Januari. Zipo dili nyingi zilizokwama wakati wa usajili wa dirisha kubwa lililofungwa hivi karibuni na sasa zinasubiri Januari.Je, ni dili zipi zilizoshindwa...