25.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

PICHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na Rais wa Kenya Dk. William Ruto kabla ya kuanza...

Waziri Mkuu amtaka Balozi wa Tanzania nchini Japan kuhamasisha uwekezaji

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka Balozi wa Tanzania nchini Japan, Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni...

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia kuelekea uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura...

Taifa Group Limited yatoa ufafanuzi kuhusu miamala ya TANCOAL na WDL

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa Group Limited, imetoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu...

Barca imemchoka Rashford, kumrudisha Man United

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona inaangalia uwezekano wa kuiambia Manchester United imchukue mshambuliaji wake raia wa England, Marcus Rashford.Rashford alijiunga na Barcelona kwa mkopo akitokea...

Chart| Liverpool yaongoza matumizi soko la usajili

MERSEYSIDE, England LIVERPOOL ndiyo klabu ya Ligi Kuu ya England iliyotumia fedha nyingi zaidi wakati wa dirisha kubwa la usajili wa kiangazi barani Ulaya. Usajili huo...

Suarez afungiwa mechi sita Marekani

MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Luis Suarez, amefungiwa mechi sita baada ya kitendo chake cha kumtemea mate kocha wa timu pinzani.Suarez alimfanyia hivyo...

Umoja wa Mataifa waonya uhalifu wa kivita DRC

KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...

Mbappe aifikia rekodi ya mkongwe Ufaransa

PARIS, UfaransaNAHODHA wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amefikisha mabao 51 akiwa na kikosi hicho, akiifikia rekodi ya Thierry Henry.Mbappe aliandika historia...

Weah, Drogba kupinga ubaguzi wa rangi FIFA

NYON, UswisWAKONGWE wa soka, George Weah na Didier Drogba, wameteuliwa kuingia kwenye jopo la wachezaji 16 wa zamani watakaoendesha kampeni ya kupinga vitendo vya...

Utafiti: Vijana wengi hawana nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu, Gazetini UTAFITTI mpya nchini Uingereza umebaini kuwa asilimia zaidi ya 65 ya vijana wenye umri chini ya miaka 40 wanakabiliwa na changamoto...

Kwanini uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako?

Na mwandishi wetu, GazetiniSARATANI ya kongosho ni ugonjwa unatajwa kusababisha vifo zaidi ya 10,000 kila mwaka. Ni wastani wa mtu mmoja kupoteza maisha kila...