29.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Infographic| Ukosefu wa elimu ya upangaji bajeti inavyovuruga familia

KUSUASUA kwa Uchumi ni miongoni mwa sababu ya migogoro kuanzia ngazi ya familia, na wakati mwingine kupelekea uwepo wa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

Visualization: Kilimo kinavyohatarisha mazingira

SEKTA ya kilimo imekuwa na tija kubwa kwa maendeleo ya nchi nyingi barani Afrika, ikiwamo Tanzania. Huku kikiwa chanzo cha ajira kwa asilimia zaidi ya...

Visual| Uchumi wa Buluu; Maajabu ya bahari kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TAFITI zimebaini kuwa asilimia 71 ya uso wa dunia ni maji na asilimia 97 ya maji hayo ni bahari. Ikimaanisha, eneo...

Chati| Soko la nje linavyoitajirisha Tanzania

KATIKA dhana nzima ya utandawazi, haiepukiki kutaja fursa lukuki za kiuchumi zinazotokana na ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi moja na nyingine. Ni kwa...

Infographic| Isabel; Mwanamke tajiri zaidi Afrika anayeteswa na ufisadi

MIAKA nane iliyopita, jina la Isabel dos Santos liliteka vichwa vya habari ndani na nje ya Afrika baada ya binti huyo wa Rais wa zamani wa Angola, Jose...

Ripoti| Utatuzi migogoro changamoto maeneo ya kazi

RIPOTI ya mwaka huu ya Haki za Binadamu na Biashara imebainisha kuwa bado hakuna mifumo ya utatuzi wa migogoro ya kampuni, hasa kwenye maeneo...

Chati|Sekta ya Utalii ilivyochanua 2015-2021

AMA hakika utalii ni sekta nyeti nchini, kama ilivyo kwa madini, kilimo, na nyinginezo zinazotegemewa kuchangia pato la Taifa. Ndiyo, sekta ya utalii huchangia...

Infographic|Tunayofahamu kuhusu Bajeti ya Serikali 2021/22

Bajeti mpya ya Serikali tayari imeanza kutumika tangu Julai 1, mwaka huu, huku sehemu ya bajeti hiyo ikiwa ni makusanyo kupitia kodi za wanananchi...

Infographic| Uhaba wa ajira ulivyoguswa 2020/21

CHANGAMOTO ya uhaba wa ajira imekuwa kaa la moto duniani kote, hasa kwa nchi zinazoendelea, ikiwamo Tanzania, huku wahanga wakubwa wakiwa ni vijana. Aidha, ongezeko...

RIPOTI: NMB na mafanikio yake Nusu Mwaka 2021

Benki inayoongoza nchini Tanzania, NMB, imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha Nusu ya Kwanza ya mwaka 2021.  Faida baada ya kodi ya mapato imeongezeka...

Infographic| Mwenendo wa watumiaji wa huduma za benki Tanzania

Wakati sheria ya ongezeko la tozo za miamala ya simu iliyoanza kutumika nchini Julai 15, mwaka huu, ikilalamikiwa kila kona, Watanzania walio wengi wameanza...

Infographic| Tunayofahamu kuhusu Bandari ya Dar es Salaam

NA MWANDISHI WETU Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imesema maboresho makubwa wanayoendelea kufanyika yataiwezesha kuongoza kwa kuwa bandari kubwa inayopokea magari mengi Afrika Mashariki hadi...

Recent articles

spot_img