24.7 C
Dar es Salaam

Uchumi

Chart| Halmashauri 10 zilizozima Posi kwa muda mrefu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema wakurugenzi wa halmashauri ambao...

Infographic| Tunachofahamu kuhusu ndege mpya ya Boeing 767-300F

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 3, 2023 Tanzania imepokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, ni wazi kuwa hatua hiyo itachochea kukuza...

Chart| Mwenendo wa Utekelezaji wa Mradi wa JNHPP

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inatekeleza ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme waMW 2,115 kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji maarufu kama Bwawa...

Chart| SADC inavyoinufaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na Ripoti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ya mwaka 2023, inaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la bidhaa za...

Chart| Uchumi wa Tanzania wapaa miaka miwili ya Rais Samia – IMF

*Pato la Taifa lafikia Sh trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh trilioni 163 ya mwaka 2021 *Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi...

Infographic| Mambo unayopaswa kufahamu kuhusu TAWA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Management Authority - TAWA) ilianzishwa kwa mujibu wa Kifungu cha 8 cha Sheria...

Infographic| Idadi ya watu Afrika Mashariki kufikia mwaka 2050

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rasmi Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jumanne ya Machi 25, 2022 waliidhinisha na kuikaribisha rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Ripoti| Wafanyakazi wengi wanatishwa kazini Tanzania

Machapisho mbalimbali yanaitafsiri Kazi kama ni seti ya shughuli ambazo zinafanywa kwa ajili ya kufikia lengo, kutatua shida au kuzalisha bidhaa na huduma ili...

Ripoti| Je unawafahamu Wanawake Ma-CEO Afrika 2022?

Machi 8, 2022 mtandao wa Africa.com ulitangaza Orodha Mahususi ya pili ya Wakurugenzi Wakuu na Maafisa Watendaji wakuu Wanawake, kulingana na Siku ya Kimataifa...

Infographic| OSHA inavyosaidia kukuweka salama kazini

Mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kwamba uchumi wa nchi unaimarika hususan sekta ya viwanda. Hata...

Visual| Reli bado ina umuhimu

Treni au Garimoshi ni aina ya usafiri ambao umekuwapo miaka na miaka. Historia ya treni inahusu miaka mia mbili iliyopita ya ustaarabu wa kibinadamu...

Visual| Abiria wa safari za ndani waliosafiri na ndege za ATCL

Ni takribani miaka nane sasa tangu kufufuliwa kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwaka 2015 na aliyekuwa Rais wa Awmu ya Tano, Hayati...

Recent articles

spot_img