Na Mwandishi Wetu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya
Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini.
Hayo yamesemwa na...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la Tanzania kuidhinisha Sh 20.19 trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...
Na Mwandishi Wetu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa kuwa na watoto wengi...
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana amesema asali ya Tanzania imeuzwa nje ya nchi kwa kiwango kikubwa kwa thamani ya ...
Na Mwandishi Wetu
Bunge la Tanzania limeidhinisha Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yenye jumla ya Sh 2.746 trilioni kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametangaza msamaha wa faini zote kwa wananchi waliokuwa wakidaiwa na Mamlaka za Maji nchini, hatua inayolenga kuwapunguzia...
Na Mwandishi Wetu
Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amemhakikishia ushirikiano Katibu Mkuu wa Jukwaa...
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi yake yote ili iweze kuakisi viwango bora, uendelevu...
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
Wizara ya Ujenzi imetaja vipaombele 10 vya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025-2026 ikiwemo kuendelea na ujenzi wa barabara za...
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
Serikali imepanga kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila usaidizi wa mtu (operator)
Hayo yameelezwa leo bungeni Machi 5,2025...