23 C
Dar es Salaam

Bungeni

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

Kubeti  kwachangia bilioni 17 pato la Taifa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...

Raia  nchi 71 kuingia Tanzania bila viza

Na Mwandishi Wetu Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Hayo yamesemwa na...

Wizara ya Fedha yaoamba Sh 20.19  trilioni,  deni la Serikali  10.19 trilioni zimelipwa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la  Tanzania kuidhinisha Sh 20.19  trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...

Dar yatajwa kinara watoto wa mtaani

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imeitaja Dar es Salaam kuwa Mkoa unaongoza kwa  kuwa na watoto wengi...

Mauzo asali ya Tanzania yapaa nje ya nchi, yangiza mabilioni

Na Mwandishi wetu Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana amesema asali ya Tanzania imeuzwa nje ya nchi kwa kiwango kikubwa kwa thamani ya ...

Bunge lapitisha  Sh 2.746 Trilioni  bajeti ya Wizara ya Uchukuzi

Na Mwandishi Wetu Bunge la Tanzania limeidhinisha Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yenye jumla ya Sh 2.746 trilioni kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake...

Serikali yasamehe wadaiwa faini za maji, yataka wananchi warejeshewe huduma

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametangaza msamaha wa faini zote kwa wananchi waliokuwa wakidaiwa na Mamlaka za Maji nchini, hatua inayolenga kuwapunguzia...

Spika wa Bunge amhakikishia ushirikiano Dk. Mwapinga

Na Mwandishi Wetu Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amemhakikishia ushirikiano Katibu Mkuu wa Jukwaa...

Kamati ya Miundombinu yaishauri Serikali kusimamia utekelezaji miradi ya barabara

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi yake yote ili iweze kuakisi viwango bora, uendelevu...

Vipaombele 10 vya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Wizara ya Ujenzi imetaja vipaombele 10 vya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025-2026 ikiwemo kuendelea na ujenzi wa barabara za...

Wizara ya Ujenzi yaja na mizani zisizotumia watu

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Serikali imepanga kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila usaidizi wa mtu (operator) Hayo yameelezwa leo bungeni Machi 5,2025...

Recent articles

spot_img