29.2 C
Dar es Salaam

AFYA

Chart: Imani potofu kuhusu TB Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Machi 24, ya kila mwaka Tanzania huungana na nchi nyingine duniani kiadhimisha siku ya Kifua Kikuu(TB). Kwa hapa nchini Takwimu za Wizara...

Visual: Elimu bado inahitajika kudhibiti TB nchini

Na Faraja Masinde, Gazetini Licha ya kazi kubwa inayofanywa na Serikali katika kudhibiti Kifua Kikuu(TB) nchini ikiwamo kutoa matibabu bure lakini bado takwimu zinaonyesha kwamba...

Infographic| Ilani ya CCM ilieleza nini kuhusu watu wenye ulemavu?

Na Jackline Jerome,Gazetini Watu wenye ulemavu ni moja kati ya makundi muhimu na maalumu katika jamii, hata hivyo, wakati mwingine limekuwa likikosa nafasi katika nyanja...

Chart| Maambukizi ya VVU kwa vijana wanaojiunga JKT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Februari 3, 2023 Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI iliwasilisha taarifa yake bungeni kwa kipindi cha Februari 2022 hadi Februari...

Visual| Mapambano ya VVU Tanzania na mchango wa PEPFAR

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Ikiwa ni zaidi ya miaka 40 sasa tangu kuwapo kwa janga la Virusi Vya UKIMWI, Serikali ya Tanzania imesema kuwa imefanikiwa...

Utafiti| Wanafunzi ‘wamesahaulika’ mapambano ya VVU

*Serikali inakumbushwa kuchukua hatua ikiwamo kubadili sera*Wazazi nao watakiwa kutokubaki nyuma Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa imepita tangu janga la Virusi...

MAP| Wananchi Morogoro wanavyopambana na Malaria kwa watoto

*Ni mfereji uliopewa jina la ‘Aunty Malaria’ kwasababu ya uzalishaji wa mbu katika makazi yaliyo karibu *Pamoja na ugumu wa mazingira hayo, wananchi wanajitahidi kufanya...

Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

Visual| Umaskini unavyochochea ndoa za utotoni Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini "Sina furaha kabisa na ndoa hii, natamani kutoka lakini kinachonibakisha ni watoto wangu wawili, sitamani tena kuzaa mtoto mwingine nasubiri watoto...

Visual| Asilimia 26 ya watoto waliozaliwa miaka mitano kabla ya 2010 hawakutarajiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa Utatifi wa Demografia na Afya Tanzania wa mwaka 2010 ulikadiria kuwa asilimia 26 ya watoto waliozaliwa katika kipindi...

Visual| Tunachofahamu kuhusu chanjo ya Uviko-19 Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Hadi kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18...

Visual| Miaka 40 ya UKIMWI: Namna Afrika ilivyotikiswa

Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa tangu kuripotiwa kwa kisa cha Virusi Vya UKIMWI, hata hivyo bado ugonjwa huo umeendelea kuwa...

Recent articles

spot_img