22.2 C
Dar es Salaam

AFYA

IWPG Global Region 2 Regional Director Seo-Yeon Lee, Exchange with ‘How Women Work’ global organization in Qatar

- Representative Evridiki Iliaki “I want to discuss a peace workshop for refugees” On the 5th of last month, the International Women's Peace Group (IWPG),...

Visual| Watoto walivyoathirika na mafuriko Hanang

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali inaendelea na uratibu wa shughuli mbalimbali baada ya maafa ya maporomoko ya tope, mawe, magogo na maji kutoka mlima Hanang...

Visual| Serikali yaendelea kupokea misaada Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imeendelea kupokea misaada mbalimbali kutoka kwenye taasisi za umma na binafsi likiwemo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umoja...

Visual|Maendeleo ya uokoaji wa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Gazetini imekufanyia uchambuzi wa Taarifa fupi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa leo Desemba 5, 2023, kuhusu maendeleo...

Tanzania yapunguza vifo vya mama wajawazito mara tano zaidi ya mwaka 2016

*Nikutoka 556 mwaka 2016 hadi 104 mwaka jana Na Patricia Kimelemeta, Gazetini SERIKALI imeweza kupunguza idadi ya vifo vya mama mjamzito kutoka 556 kwa Mwaka 2016...

Waliofariki Katesh wafikia 63, majeruhi 116

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo wilayani Hanang, mkoani Manyara imefikia 63 na...

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa...

Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (NACOPHA) latangaza Uongozi mpya

*Lawataka WAVIU kuamka wakatae utegemezi Na Mwandishi Wetu, Morogoro Katika tukio la kihistoria lililomjumuisha Bodi mpya ya uongozi wa Baraza la Kitaifa la Watu Wanaoishi na...

Dk. Yonazi aridhishwa na maandalizi ya Kuelekea Siku ya UKIMWI Duniani

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi ametembelea mabanda mbalimbali na kujionea maandalizi yaliofanywa na wadau mbalimbali kuelekea...

GGML yatoa milioni 17 kupiga tafu ATF Marathon 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kukabiliana na maambukizi ya Virus Vya Ukimwi (VVU), Kampuni ya Geita Gold Mining Limited...

Visual| Kituo cha Maarifa Manyoni kinavyosaidia mapambano ya VVU

*Kamati ya Bunge ya Afya na UKIMWI yapongeza Na Nadhifa Omar, Singida Kituo cha Maarifa cha Manyoni mkoani Singida kimechangia katika mikakati ya Taifa ya utoaji...

Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure

*Wanawake wapewa neno Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi...

Recent articles

spot_img