29.1 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Raia kumiliki silaha kunavyoitesa Marekani

Na mwandishi wetu, GazetiniKATIKA kila raia 100 wa Marekani, kuna bastola 120. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya SAS ya nchini...

Ethiopia na hali mbaya ya vyombo vya habari 

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUKIO ya vyombo vya dola kuvibana mbavu vyombo vya habari yameshika kasi nchini Ethiopia kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni, mwakani.Wengi...

Chanzo machafuko yanayoendelea Yemen

Na mwandishi wetu, GazetiniKUNDI la waasi la Houthis limeendelea kuwateka wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) wanaoingia nchini Yemen humo kwa ajili ya kuwasaidia...

Ni wakati sasa Trump kupewa tuzo ya Nobel?

Na mwandishi wetu, GazetiniRAIS wa Marekani, Donald Trump, anajaribu kuingia kwenye historia ya kumaliza mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.Tujikumbushe; kiongozi huyo alikuwa...

NCBA yazindua kampeni ya “Maisha ni Hesabu” nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam BENKI ya NCBA imezindua rasmi kampeni yake mpya ya kibiashara inayojulikana kama “Numbers That Matter- Maisha Ni Hesabu”, ikiwa...

Sakata la muuguzi Kibondo ahusishwa na rushwa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Grace Magembe, ametoa ufafanuzi  kuhusu picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi na askari wakivutana katika...

Muhimbili yafafanua utaratibu wa uchangiaji figo

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga na Mloganzila),imetoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa uchangiaji figo kwa wagonjwa wanaohitaji huduma ya kupandikiza viungo hivyo. Kwa mujibu...

Dira ya Maendeleo 2050 yasisitiza malezi bora ya watoto nchini

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini DIRA ya Maendeleo ya Mwaka 2020-2050 imeitaka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuimarisha uchumi wa kati wa kiwango cha juu sambamba na...

Hakamatiki: Samia anga’a uzinduzi wa kampeni za urais

Na Mwandishi Wetu, Gazetini HAKAMATIKI-ndio msamiati unaoibuka kuelezea upekee wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia...

Polisi wawili washikiliwa kwa tuhuma za wizi wa mbolea

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Songwe Jeshi la Polisi mkoani Songwe linawashikilia watu saba, wakiwamo askari polisi wawili na madereva wa treni kwa tuhuma za kuhusika...

Wamiliki silaha haramu wapewa siku 60 kuzisalimisha

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza msamaha wa kutokushtakiwa kwa wananchi wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria endapo watasalimisha silaha hizo kwa hiari...

Msanii aingilia kati michango ya timu ya Taifa ya wenye ulemevu

Na Winfrida Mtoi Msanii wa Bongo Flava, Frank Humbuchi maarufu Foby amewataka watanzania na wasanii wenzake kuichangia timu ya Taifa ya Soka kwa watu wenye...