30.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Chart| Nchi 20 zenye uchumi unaokua kwa kasi 2024

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Oktoba, 2023 Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) lilichapisha Orodha ya nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unatarajiwa kukua kwa kasi...

TPSF: Kampuni binafsi tumieni mwongozo wa GGML kuibua vipaji vipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga ametoa wito kwa kampuni za sekta binafsi kuiga mwongozo wa Kampuni...

GGML yazindua mpango wa mafunzo kazini kwa mwaka 2024/2025

*Wanafunzi 40 kufaidika na mpango huo Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kudhihirisha dhamira ya kuwajengea wahitimu wa vyuo mbalimbali kukubalika kwenye soko la ajira, Kampuni ya...

Ujenzi kituo cha kupoza umeme GGML wafikia 95%

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kutoka Shirika la Umeme Tanzania...

Visual| Changamoto lukuki TPA ikifikia ufanisi 2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Ukosefu wa Magati yanayotosheleza ikiwamo miundombinu isiyotosheleza ya reli na barabara ni moja ya sababu zinazokwamisha bandari ya Dar es Salaam...

Makala| Mazingira bora ya uwekezaji yanaivutia AngloGold Ashanti kuwekeza zaidi Tanzania 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUTOKANA na mazingira mazuri ya uwekezaji yanayoendelea kuboreshwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni AngloGold Ashanti imetangaza kuanzisha...

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake...

Visual| Namna REA itakavyogawa gesi nchini

Na Veronica Simba, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA), katika Mwaka huu wa Fedha (2023/24), umetenga shilingi bilioni 10 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya...

Mradi wa ReSea wazinduliwa Tanga

*Kunufaisha zaidi ya wananchi 350,000 Na Faraja Masinde, Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amezindua mradi wa ReSea unaolenga uhifadhi wa maeneo makubwa ya...

GGML ilivyong’ara usiku wa madini, yatwaa tuzo mbili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mchango wa Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) umeendelea kutambuliwa na wadau mbalimbali wa sekta ya madini...

Mabadiliko tabianchi kikwazo Ajenda 10/30

Na Faraja Masinde, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi imeelezwa kuwa moja ya changamoto inayoathiri sekta ya kilimo nchini hatua ambayo imesababisha hata mbegu zilizopo kushindwa kustahimili...

Rostam kuanza kuzalisha umeme Zambia

*Kuanza kwa kuwekeza Bilioni 250 Na Mwandishi Wetu, Lusaka Mfanyabishara wa Kimataifa, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza...

Recent articles

spot_img