27.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

Mradi wa ReSea wazinduliwa Tanga

*Kunufaisha zaidi ya wananchi 350,000 Na Faraja Masinde, Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amezindua mradi wa ReSea unaolenga uhifadhi wa maeneo makubwa ya...

GGML ilivyong’ara usiku wa madini, yatwaa tuzo mbili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mchango wa Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) umeendelea kutambuliwa na wadau mbalimbali wa sekta ya madini...

Mabadiliko tabianchi kikwazo Ajenda 10/30

Na Faraja Masinde, Gazetini Mabadiliko ya tabianchi imeelezwa kuwa moja ya changamoto inayoathiri sekta ya kilimo nchini hatua ambayo imesababisha hata mbegu zilizopo kushindwa kustahimili...

Rostam kuanza kuzalisha umeme Zambia

*Kuanza kwa kuwekeza Bilioni 250 Na Mwandishi Wetu, Lusaka Mfanyabishara wa Kimataifa, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza...

Visual| Mipango ya kuinua kilimo inavyosahaulika kwenye makaratasi Buchosa

Na Clara Matimo, Gazetini Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ina dhamira ya kuona sekta ya kilimo nchini ikipiga...

Chart| Uchumi wa Tanzania wazidi kupaa mwaka 2023

Na Jackline Jerome, Gazetini Kulingana na takwimu mpya zilizotolewa mwaka huu na Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF), pato la Taifa la Tanzania kwa bei ya...

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar atembelea banda la GGML maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo Jumamosi Septemba 30, 2023 ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold...

Chart| Umeme siyo anasa, ni hitaji la lazima-Dk. Biteko

Lilian Lundo na Veronica Simba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema umeme sio anasa bali ni hitaji la lazima...

RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa...

Rais Samia awakosha wakazi wa Nanyamba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

GGML: Tupo tayari kushirikiana na TANESCO

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme...

Recent articles

spot_img