Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

World CUP

Ancelotti aonywa Brazil ikitinga 16 Bora

RIO, Brazil LICHA ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil kutinga hatua ya 16 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Kocha mwingine aachia ngazi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MIROSLAV Koubek wa timu ya soka ya Taifa ya Czech amekuwa kocha wa tatu kupoteza kibarua msimu huu wa fainali za Kombe la...

Song bado anaishi na rekodi yake Kombe la Dunia

YOUNDE, Cameroon TIMU ya soka ya Taifa ya Cameroon haikufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) lakini lejendari wake, Rigobert Song, ana...

VAR ilivyozua utata Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani TEKNOLOJIA ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) imeibua sintofahamu kwa baadhi ya maamuzi yake wakati huu wa fainali za Kombe la...

Iran ilivyokosa bahati Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani NI kama haikuwa na bahati. Baada ya sare dhidi ya New Zealand na Ubelgiji, timu ya soka ya Taifa ya Iran ilihitaji ushindi...

Canada yatua 16 Bora ikiitoa Afrika Kusini

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Canada imekuwa ya kwanza kuingia hatua ya 16 Bora baada ya kuitoa Afrika Kusini 'Bafana Bafana'. Katika mchezo...

Kane mfalme mpya wa mabao England

TORONTO, Canada STRAIKA Harry Kane ameandika historia mpya baada ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa timu ya soka ya Taifa ya England katika...

Kumeanza kuchangamka! Hizi hapa mechi za 32 Bora Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MECHI za hatua ya 32 Bora msimu huu wa Kombe la Dunia zitaanza kuchezwa usiku wa leo Juni 28, 2026. Colombia baada ya kulazimisha...

Afrika siyo kinyonge safari hii Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia. Safari hii, kwa maana...

Jordan wabahatika kupishana na Messi

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...

Cape Verde wanasa kwa Argentina; watatoboa kweli?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kuvuka hatua ya makundi, sasa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde imeangukia kwa mabingwa watetezi wa msimu huu...

32 Bora: Morocco kuendeleza ‘uteja’ kwa Uholanzi?

TORONTO, Canada NI mtihani kwa timu zote mbili katika kuwania tiketi ya kwenda hatua inayofuata ya 16 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe...

Recent articles