Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

World CUP

Zilizotinga 16 Bora Kombe la Dunia

TORONTO, Canada TIMU 13 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 16 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Ni baada ya Uswis nayo...

Ni England au Mexico tiketi ya robo fainali?

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi...

Kocha Ubelgiji amtaja aliyeiua Senegal

MIAMI, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...

Weah: Yamal? Mbappe habari nyingine

TORONTO, Canada MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal. Weah...

Usijichanganye! Brazil haijawahi kutoboa kwa Norway

TORONTO, Canada WIKIENDI hii, Julai 5, 2026, itashuhudiwa mechi kali ya hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia kati ya Brazil na Norway ya...

Hii ndiyo Mexico inayosumbua Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico LICHA ya kuchukuliwa poa hata kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza Juni 11, 2026, Mexico ni moja ya timu zilizofanya...

Mashabiki wafariki wakishangilia ushindi Mexico

MEXICO CITY, Mexico MASHABIKI wawili wa kandanda wamepoteza maisha nchini Mexico wakati wakishangilia ushindi wa timu yao ya Taifa. Tukio hilo limetokea baada ya Mexico kupata...

Drogba aibuka, alia na VAR

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameeleza kusikitishwa na uamuzi wa VAR kuwanyima penalti. Drogba anazungumzia mchezo wao...

Kane avunja rekodi ya Pele, DRC yang’oka

MIAMI, Marekani NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya England, Harry Kane, amempiku mkongwe wa soka la Brazil, Pele, kwa idadi ya mabao kwenye...

Kigogo wa Serikali achekelea Iran kutolewa Kombe la Dunia

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Kombe la Dunia 2026: Canada yaingia anga za Morocco

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...

Recent articles