Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Zidane na mzigo wa kuinoa Ufaransa

PARIS, Ufaransa INAELEZWA kuwa Zinedine Zidane 'Zizou' amefikia makubaliano ya kuinoa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza kazi hiyo baada ya fainali za Kombe...

Kama Senegal, timu hizi nazo zilipokonywa ubingwa

LONDON, Uingereza HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita. Na badala...

Mambo hayaendi! Rosenior kazi anayo pale Stamford Bridge

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 3-0 kutoka kwa Everton kimeendeleza wimbi baya linaloiyumbisha Chelsea.Kabla ya kupoteza mchezo huo wa Ligi Kuu, Blues iliondoshwa kwenye michuano...

Gattuso kuirejesha Italia fainali za Kombe la Dunia?

LONDON, Uingereza TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia. Na badala yake, imeishia...

Morocco yatwaa ubingwa wa AFCON 2025 baada ya CAF kubatilisha matokeo ya fainali

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...

Trinity Rodman; Mchezaji ghali zaidi soka la wanawake duniani

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya taifa ya Marekani, Trinity Rodman, amekuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kwa upande wa soka la...

Utafiti: Changamoto wanazopitia makocha wanawake

LONDON, Uingereza KWA mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Women in Sport kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Leeds Beckett, wanawake waliopo katika taaluma ya...

Yanga yaitwanga maswali 5 Bodi ya Ligi, bao la Mwalimu latajwa

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache baada ya kutoka sare ya kutokufungana dhidi ya Simba, Yanga imeibuka na kuitwanga barua nzito Kamati ya Uendeshaji ya...

David Luiz kwa sasa anakula maisha tu

LONDON, Uingereza UNAMKUMBUKA beki wa kati wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil 'Selecao', David Luiz? Kwa sasa, nyota huyo ana umri...

Jesse Lingard na maisha yake mapya huko Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI huyo wa zamani wa Manchester United na West Ham za England, Jesse Lingard, ametua Ligi Kuu ya Brazil baada ya kusajiliwa na...

Man City yamsogelea ‘mido’ Bayern

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic. Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...

Evra awavaa Scholes, Neville kisa Carrick

MANCHESTER, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester, Patrice Evra, amewatolea uvivu wakongwe wenzake wa timu hiyo, Paul Scholes, Gary Neville na Roy Keane, akiwaambia waache...

Recent articles