INSTANBUL, UturukiKLABU ya Fenerbahce ya Uturuki italazimika kumlipa Jose Mourinho kiasi cha Pauni milioni 7.7 (zaidi ya Sh bil. 25 za Tanzania) baada ya...
LONDON, UingerezaCRISTIANO Ronaldo ndiye mwanamichezo aliyeingiza fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka jana, akivuna mara mbili zaidi ya mpinzani wake, Lionel Messi.Kwa mwaka jana...
MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Everton wanaangalia uwezekano wa kumsajili moja kwa moja winga wao wa mkopo kutoka Manchester City, Jack Grealish.Grealish amekuwa moto wa kuotea...
LONDON, UingerezaKLABU ya Chelsea imefunguliwa mashitaka 74 yanayohusu malipo yake kwa mawakala wa wachezaji.Mashitaka hayo ya Chama cha Soka cha England (FA) ni juu...
ISTANBUL, UturukiMLINDA mlango wa kimataifa wa Cameroon, Andre Onana, amejiunga na Trabzonspor ya Uturuki akitokea Manchester United kwa mkopo wa msimu mmoja.Usajili huo ulikamilishwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Burundi
Timu ya Taifa ya watu wenye ulemavu Tanzania 'Tembo Warriors' imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Afrika...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha Simba Day leo Septemba 10, 2025, burudani kutoka kwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wake dhidi ya Niger uliopigwa leo Septemba 9, 2025 katika Dimba la...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesitisha mchakato wa uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), uliopangwa kufanyika Oktoba 4,...
LONDON, EnglandNI mapema mno lakini tayari baadhi ya klabu zinaonesha dalili ya kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Ikumbukwe, timu...
LONDON, UingerezaTUKUTANE Januari. Zipo dili nyingi zilizokwama wakati wa usajili wa dirisha kubwa lililofungwa hivi karibuni na sasa zinasubiri Januari.Je, ni dili zipi zilizoshindwa...