24.6 C
Dar es Salaam

Michezo

Mourinho aikomoa Fenerbahce, achota bil. 25/-

INSTANBUL, UturukiKLABU ya Fenerbahce ya Uturuki italazimika kumlipa Jose Mourinho kiasi cha Pauni milioni 7.7 (zaidi ya Sh bil. 25 za Tanzania) baada ya...

Ronaldo mwanamichezo ghali zaidi duniani

LONDON, UingerezaCRISTIANO Ronaldo ndiye mwanamichezo aliyeingiza fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka jana, akivuna mara mbili zaidi ya mpinzani wake, Lionel Messi.Kwa mwaka jana...

Everton yanogewa kumbakiza Grealish

MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Everton wanaangalia uwezekano wa kumsajili moja kwa moja winga wao wa mkopo kutoka Manchester City, Jack Grealish.Grealish amekuwa moto wa kuotea...

Chelsea yafunguliwa mashitaka 74

LONDON, UingerezaKLABU ya Chelsea imefunguliwa mashitaka 74 yanayohusu malipo yake kwa mawakala wa wachezaji.Mashitaka hayo ya Chama cha Soka cha England (FA) ni juu...

Onana rasmi ajiunga na Trabzonspor

ISTANBUL, UturukiMLINDA mlango wa kimataifa wa Cameroon, Andre Onana, amejiunga na Trabzonspor ya Uturuki akitokea Manchester United kwa mkopo wa msimu mmoja.Usajili huo ulikamilishwa...

Tembo Warriors yatinga nusu fainali CECAAF

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Burundi Timu ya Taifa ya watu wenye ulemavu Tanzania 'Tembo Warriors' imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Afrika...

Simba Day ina wenyewe bwana!

Na Winfrida Mtoi, Gazetini MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha Simba Day leo Septemba 10, 2025, burudani kutoka kwa...

Cape Verde bado pointi 3 tu kutinga Kombe la Dunia

PRAIA, Cape VerdeUSHINDI wa nyumbani wa bao 1-0 dhidi ya Cameroon unaifanya timu ya taifa ya Cape Verde iwe kwenye nafasi nzuri ya kufuzu...

Taifa Stars yapigwa nyumbani, matumaini kucheza kombe la dunia yafifia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepoteza mchezo wake dhidi ya Niger uliopigwa leo Septemba 9, 2025 katika Dimba la...

Serikali yasimamisha mchakato uchaguzi TOC

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesitisha mchakato wa uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), uliopangwa kufanyika Oktoba 4,...

Zikijichanganya tu, zinashuka daraja EPL

LONDON, EnglandNI mapema mno lakini tayari baadhi ya klabu zinaonesha dalili ya kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Ikumbukwe, timu...

Dili hizi ziligonga mwamba usajili kiangazi Ulaya

LONDON, UingerezaTUKUTANE Januari. Zipo dili nyingi zilizokwama wakati wa usajili wa dirisha kubwa lililofungwa hivi karibuni na sasa zinasubiri Januari.Je, ni dili zipi zilizoshindwa...

Recent articles

spot_img