Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali ya Tanzania imeanzisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika maeneo yanayopakana na hifadhi, ikiwa ni juhudi za kuondoa migongano...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Ushoroba wa Nyerere-Selous-Udzungwa ni eneo muhimu la kijiografia na kiikolojia nchini Tanzania. Eneo hili linaunganisha Hifadhi ya Taifa ya Nyerere (Selous)...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo...
*Mchango wa Mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili watajwa
Na Faraja Masinde-Aliyekuwa Mang'ula
Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa, mojawapo ya hifadhi za asili zinazoonekana kuvutia...
Na Mwandishi Gazetini, Gazetini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa Idara na Vitengo vya Mazingira katika wizara na...
*Atoa maagizo Dawasa kutoa maji yote machafu yaliyoatuama kwenye mifereji
Na Grace Mwakalinga, Gazetini
MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango ametoa muda wa wiki moja kwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tanzania inaendelea kuchukua hatua muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2033.
Hatua hiyo...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Serikali imeanza kuandaa Muongozo mpya wa kuhakikisha kuwa inapunguza changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori huku ikiwawezesha wananchi kunufaika...
*TUI Sea the Change Bali includes the installation of a floating pontoon for coral planting and awareness workshops for visitors
*TUI Sea the Change Dominican...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika...
*Watanzania 80% kutumia Nishati Safi ya Kupikia ifikapo 2034
*Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kusimamia Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia
Na Ofisi ya Naibu Waziri...