22.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

Bajeti Kuu ya Serikali kuwezesha nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika...

Wizara, Taasisi zaagizwa kuzingatia matumizi ya nishati safi ya kupikia

*Watanzania 80%  kutumia Nishati Safi ya Kupikia ifikapo 2034 *Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kusimamia Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia Na Ofisi ya Naibu Waziri...

Kyela Festival kuja na mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Na Grace Mwakalinga, Gazetini- Kyela ASASI ya Kijamii ya Kyela Festival, inayofanya shughuli zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, imepanga kutoa elimu...

TUI Care Foundation supports the protection and restoration of the marine environment in the Balearics

TUI Care Foundation pledges half a million Euro to support marine conservation in the BalearicsTUI Sea the Change Balearics project restores shallow water bays,...

AGENDA yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mama Sayari Dunia na Malaria duniani

Na Grace Mwakalinga, Gazetini WATU zaidi ya milioni 500 duniani kila mwaka huambukizwa ugonjwa wa malaria unaosambazwa kwa kung’atwa na mbu jike aina ya Anopheles...

Bonde la maji Nyamitita hatarini kukauka, wadau wataka hatua za haraka zichukuliwe

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti BONDE la Maji katika Kijiji cha Nyamitita Kata ya Ring’wani wilayani Serengeti mkoani Mara, lipo hatarini kukauka kutokana na shughuli za...

GGML, OSHA wawanoa mama lishe 50 kukabiliana na majanga ya moto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Arusha Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...

Royal Tour yazidi kulipa, Watalii kutoka nchi 18 duniani wawasili Kilwa Kisiwani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Meli ya Silver Clouds iliyobeba takribani watalii 230 kutoka katika mataifa 18 duniani, leo Aprili 24,2024 imetia nanga kwenye Hifadhi ya...

Chart| Fahamu hali ya Uhifadhi Tanzania kufikia sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah  Kairuki ametangaza rasmi matokeo ya sensa  ya wanyamapori katika mifumo  mitatu ya ikolojia ya Nyerere-Selous-Mikumi, Saadani-Wamimbiki...

Chart| Mwenendo wa wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA)zinaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la matukio ya wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu...

Utafiti wafichua kemikali hatarishi iliyojificha katika plastiki zilizorejelezwa

*Wataalamu waeleza kuwa ni chanzo cha majanga makubwa matatu *Serikali yatakiwa kuwa macho kuhakikisha wapunguza madhara Na Faraja Masinde, Gazetini Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga...

Shule 60 Tanzania zitakavyonufaika na mpango wa TWIGA WA KIJANI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wezesha Binti na Mama Mjasiriamali (WBM) linatarajia kupanda miti 6,000 ndani...

Recent articles

spot_img