23 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Hatua ya Serikali kulinda ushoroba wa Kwakuchinja itaimarisha uhifadhi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika jitihada za kulinda urithi wa maliasili na kuimarisha uhifadhi nchini, serikali imechukua hatua muhimu kwa kusaini mkataba wa kulinda ushoroba...

Dk. Dugage ahimiza elimu ya biashara ya Kaboni kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dk. Festo Dugange amekishauri Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji na Usimamizi wa Biashara ya...

UN Tourism and TUI Care Foundation partner to support African artisans in rural areas

UN Tourism and TUI Care Foundation have solidified their ongoing partnership by signing an agreement at the UN Tourism headquarters in Madrid. The agreement...

TDI yachukua hatua kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kupanda miti 1,500

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Shirika la Together Development Initiative (TDI) lililopo Nyakato, jijini Mwanza, limechukua hatua za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa...

Vita ya kukabiliana na ukame Chunya: Ukata wakwamisha matumizi ya nishati mbadala

Na Grace Mwakalinga, Gazetini Wilaya ya Chunya, iliyopo mkoani Mbeya, ni moja ya maeneo ambayo shughuli za uchomaji wa mkaa zinafanyika kwa kasi sana, hali...

TAWA yaitumia Sabasaba kutoa fursa za uwekezaji

Na Beatus Maganja, TAWA Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imetoa wito kwa wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia. TAWA...

Dk. Biteko ahimiza Uhifadhi wa Viumbe vya Baharini na Mazingira kwa ajili ya vizazi vijavyo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bahari...

TTB kuboresha maeneo ya Uhifadhi wa Nyuki kwa Shughuli za Utalii

Na Grace Mwakalinga, Gazetini-Morogoro Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imeanza mikakati ya kuboresha maeneo yote nchini yenye uhifadhi wa nyuki na kuwekea utaratibu maalum kwa...

Wakazi wa kijiji cha Kondo waonywa kuhusu uharibifu wa misitu ya mikoko

Na Upendo Mosha, Gazetini- Bagamoyo Wakazi wa kijiji cha Kondo, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani, wameonywa kuacha tabia ya kuharibu misitu ya mikoko iliyopo pembezoni mwa...

Ushirikiano ni muhimu katika kudhibiti biashara haramu ya viumbe pori-Mtaalam

Na Faraja Masinde, Gazetini Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na biashara haramu ya viumbe pori, bado kuna umuhimu mkubwa...

Watumishi mahakama watakiwa kuisoma ripoti haki jinai kuboresha uhifadhi wa wanyamapori

Na Nora Damian, Gazetini Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewaelekeza watumishi wa mahakama kuisoma ripoti ya Tume ya Haki Jinai ili kuimarisha ulinzi...

“MITI KWA UMRI”: Birthday yako inaweza kuiokoa Tanzania na mabadiliko ya tabianchi

Na Faraja Masinde, Gazetini-Pwani Katika kuhakikisha Taifa linakabiliana na mabadiliko ya Tabianchi Watanzania wametakiwa kupanda miti kwa wingi hasa wanaposherehekea siku zao za kuzaliwa. Hayo yamesemwa na Brigedia...

Recent articles

spot_img