28 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Chart| Tanzania bado ni kinara wa Simba Duniani

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inaongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla kwa kuwa na idadi kubwa ya simba, ikiwa na jumla ya takribani simba...

Ofisi ya Makamu wa Rais kutekeleza mradi  mazingira yaliyoathiriwa na maji chumvi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kutekeleza mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi katika jamii za Wazanzibari zilizoathiriwa na...

Serikali yasajili miradi 73 ya biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema katika kuimarisha sekta ya hifadhi na...

Serikali kuendeleza mabonde kukabiliana na mafuriko

Na Mwandishi wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...

Miradi ya TUI Care Foundation kuboresha misitu kwa utalii endelevu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa...

Combating waste in small island destinations – TUI Care Foundation launches new Destination Zero Waste Programme in Mauritius 

Mauritius, an island destination renowned for its natural beauty and vibrant marine life, is facing challenges with littering and waste accumulation. Despite ongoing efforts,...

Serikali yaboresha hifadhi ya Makuyuni kwa maendeleo ya utalii

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea na juhudi za kuboresha Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park mkoani Arusha,...

REA kusambaza mitungi 22, 000 ya gesi Tabora kwa Sh milioni 455

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetenga kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi 22,785 mkoani Tabora,...

Serikali yatenga Bilioni 45.1 kudhibiti migongano ya binadamu na wanyamapori 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imetenga Shilingi bilioni 45.1 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kudhibiti migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini,...

Wafanyabishara wa betri chakavu zingatieni kanuni za usalama wa mazingira-NEMC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wafanyabiashara wa betri chakavu kuzingatia kanuni na maelekezo waliyopewa katika...

UN Tourism and TUI Care Foundation Announce Grants for Rural Artisans in Africa

By Our Correspondent UN Tourism and the TUI Care Foundation launch ‘Colourful Cultures’, a call for proposals focused on supporting the creative talent of a...

Recent articles

spot_img