Na Mwandishi Wetu
Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...
Na Jackline Jerome, Gazetini
Tanzania inaongoza barani Afrika na duniani kwa ujumla kwa kuwa na idadi kubwa ya simba, ikiwa na jumla ya takribani simba...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kutekeleza mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi katika jamii za Wazanzibari zilizoathiriwa na...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema katika kuimarisha sekta ya hifadhi na...
Na Mwandishi wetu, Gazetini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa...
Mauritius, an island destination renowned for its natural beauty and vibrant marine life, is facing challenges with littering and waste accumulation. Despite ongoing efforts,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea na juhudi za kuboresha Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park mkoani Arusha,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetenga kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi 22,785 mkoani Tabora,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Serikali imetenga Shilingi bilioni 45.1 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kudhibiti migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wafanyabiashara wa betri chakavu kuzingatia kanuni na maelekezo waliyopewa katika...
By Our Correspondent
UN Tourism and the TUI Care Foundation launch ‘Colourful Cultures’, a call for proposals focused on supporting the creative talent of a...