27.1 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na...

Urejelezwaji usio salama wa betri chakavu watajwa kuathiri mazingira na afya ya binadamu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Imeelezwa kuwa urejelezwaji wa betri chakavu bila kuzingatia miongozo ya kimazingira ni chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira na huweza kusababisha...

Miradi ya TUI Care Foundation kuboresha misitu kwa utalii endelevu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Misitu ina mchango mkubwa katika sekta ya utalii, ikivutia mamilioni ya wageni kila mwaka na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa...

Combating waste in small island destinations – TUI Care Foundation launches new Destination Zero Waste Programme in Mauritius 

Mauritius, an island destination renowned for its natural beauty and vibrant marine life, is facing challenges with littering and waste accumulation. Despite ongoing efforts,...

Serikali yaboresha hifadhi ya Makuyuni kwa maendeleo ya utalii

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea na juhudi za kuboresha Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park mkoani Arusha,...

REA kusambaza mitungi 22, 000 ya gesi Tabora kwa Sh milioni 455

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetenga kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi 22,785 mkoani Tabora,...

Serikali yatenga Bilioni 45.1 kudhibiti migongano ya binadamu na wanyamapori 

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali imetenga Shilingi bilioni 45.1 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kudhibiti migongano baina ya binadamu na wanyamapori nchini,...

Wafanyabishara wa betri chakavu zingatieni kanuni za usalama wa mazingira-NEMC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka wafanyabiashara wa betri chakavu kuzingatia kanuni na maelekezo waliyopewa katika...

UN Tourism and TUI Care Foundation Announce Grants for Rural Artisans in Africa

By Our Correspondent UN Tourism and the TUI Care Foundation launch ‘Colourful Cultures’, a call for proposals focused on supporting the creative talent of a...

JET yawapiga msasa wahariri kuhusu migongano ya binadamu na wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko...

Marine protection in Mozambique: TUI Care Foundation launches conservation initiative to support sustainable development on Mozambique’s unique coastline

Mozambique – for a long time an insider tip for experienced travelers – is rapidly gaining popularity with visitors from all around the world....

Hatua ya Serikali kulinda ushoroba wa Kwakuchinja itaimarisha uhifadhi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika jitihada za kulinda urithi wa maliasili na kuimarisha uhifadhi nchini, serikali imechukua hatua muhimu kwa kusaini mkataba wa kulinda ushoroba...

Dk. Dugage ahimiza elimu ya biashara ya Kaboni kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dk. Festo Dugange amekishauri Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji na Usimamizi wa Biashara ya...

Recent articles

spot_img