Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

Elimu

    DCEA: Kila mtu anawajibika kudhibiti dawa za kulevya

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa matumizi ya dawa za kulevya nchini yanadhibitiwa, jamii imeaswa kuelimisha watoto na vijana juu ya athari zitokanazo na...

    Mwandishi Gazetini kuwania tuzo EJAT

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwandishi Faraja Masinde kutoka tovuti ya www.gazetini.co.tz inayo chini ya Gazetini Communications ni kati ya waandishi wa habari 91 waliopitishwa...

    Utafiti| Wanafunzi ‘wamesahaulika’ mapambano ya VVU

    *Serikali inakumbushwa kuchukua hatua ikiwamo kubadili sera*Wazazi nao watakiwa kutokubaki nyuma Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa imepita tangu janga la Virusi...

    Chati| Sababu za kushuka kwa ufaulu shule kuu ya Sheria Tanzania

    Na, Anoth Paul, Gazetini Kwa mujibu wa Matokeo mwaka 2022 ni asilimia 4.1 tu ya wahitimu wamefaulu. Ndoto ya wanafunzi 633 katika Shule Kuu ya...

    Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

    Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

    Visual| Ukosefu wa elimu unachochea ukatili Tanzania

    Na Jackline Jerome, Gazetini Asilimia 53 ya wanaume ambao hawana elimu wanaongoza kuwafanyia ukatili wenza wao. Utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia 42 ya wanawake waliowahi kuolewa...

    Serikali yatenga Bilioni 8 kusaidia watoto wanaotoka familia maskini

    Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali imeanzisha Mfuko maalumu utakaowasaidia wanafuzni wanaotoka katika mazingira magumu ili waweze kumudu masomo yao nakupunguza utegemezi kutoka kwa watu mbalimbali...

    Visual| TB bado ni janga nchini

    Pamoja na nguvu kubwa ambayo imekuwa ikitumika na Serikali ya Tanzania katika kutokomeza Kifua Kikuu lakini takwimu zinaonyesha kwamba bado kuna kazi kubwa ya...

    Visual| Tunayofahamu kuhusu mwaka mpya wa masomo Tanzania

    Mwaka mpya wa masomo nchini Tanzania umeanza tangu Jumatatu Januari 17, 2022 ambapo shule za Elimu Msingi na Sekondari zimefunguliwa. Upekee ulioshuhudiwa kwa mwaka huu...

    Visualization| Mwarobaini wa madarasa shule za sekondari

    SERIKALI imekamilisha ujenzi wa madarasa 15,000 kwa asilimia 95 katika mikoa yote ya Tanzania bara, huku asilimia chache ikisalia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo...

    Makala: Wazazi, wadau wataka fursa nyingine waliokatizwa masomo kwa mimba

    CHANGAMOTO za maisha ikiwamo ukosefu wa mahitaji muhimu kwa wasichana walioko shule ni moja ya vichochezi vinavyosababisha wengi kuishia kupata ujauzito hali inayokosesha fursa...

    Ripoti| Mitandao inavyogeuka tishio maisha ya watu

    LICHA ya ujio wa mitandao ya kijamii kuwa na faida nyingi katika nyanja mbalimbali, ikiwamo ya kiuchumi, ukweli usio na shaka ni kwamba imekuwa...

    Recent articles

    spot_img