28.9 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Safari ya Xiaomi kuelekea nguvu ya teknolojia ya Dunia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Miaka michache tu iliyopita, jina Xiaomi lilikuwa geni kwa wengi nje ya China. Lakini leo, jina hilo limegeuka kuwa alama ya...

Stars ina safari ndefu, huo ndiyo ukweli

Na mwandishi wetu, GazetiniMATUMAINI ya mashabiki wa soka nchini kuiona timu yao ya Taifa, Taifa Stars, ikifuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia yameota...

Inashangaza kuona hakuna anayejali, maisha yanaendelea!

Na Hassan Mwasha, GazetiniTUMEKUWA tukiishi kwa mazoea hata katika mambo yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Cha kushangaza, hakuna anayejali. Tuko 'bize' kwa lipi wakati maisha...

Serikali yasisitiza taasisi kuhamia matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza  Wakati dunia ikikabiliwa na changamoto ya uharibifu wa mazingira na afya unaosababishwa na moshi wa kuni na mkaa, Serikali imeendelea kusukuma...

DCEA: Tumeanza kuwasaka mapapa waliojificha nje ya Nchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za dawa za kulevya zilizokuwa zikihifadhiwa...

Ripoti: Uwindaji haramu wapungua, lakini faru bado wapo hatarini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA imeendelea kuungana na nchi nyingine duniani katika kusherehekea Siku ya Faru Duniani kia ifikapo Septemba 22, huku takwimu mpya zikionyesha...

Singida Black Stars na safari yao ya kibabe CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuisukuma nje ya mashindano Rayon Sports ya Rwanda, Singida Black Stars wameonga mbele na kuingia hatua ya pili ya...

Ramani ya Simba kuingia makundi CAF

Na mwandishi wetu, GazetiniBAADA ya kuing'oa Gaborone United ya Botswana, sasa Simba itaivaa Nsingizini Hotspurs ya Ligi Kuu ya Eswatini katika raundi ya pili...

Kanisa la Anglikana lavunja mwiko wa miaka 500

London, UINGEREZA KWA mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake takribani miaka 500 iliyopita, Kanisa la Anglikana limeandika historia mpya baada ya kumteua, Dame Sarah Mullally...

Dk. Jane Goodall ‘Mama wa Sokwe’ ameondoka, lakini kazi yake itaishi

Mwandishi Wetu, Gazetini MTAFITI maarufu duniani wa maisha ya wanyama, hususan sokwe, Dk. Jane Goodall, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91 nchini Marekani. Taarifa...

Fact Check| Hakuna msafara wa Dk. Samia uliopata ajali

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Taarifa zinazosambazwa Jumatano, Oktoba 1, 2025 kwenye mitandao ya kijamii zikidai kutokea kwa ajali katika msafara wa mgombea urais wa Jamhuri...

Mabosi Mwendokasi wang’olewa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa mabosi wapya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) maarufu Mwendokasi kwa kuwaondoa Mtendaji  Mkuu...

Recent articles

spot_img