Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Wizara ya Madini yafuta leseni 73 za uchimbaji na utafiti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amefuta leseni 73 za utafiti na uchimbaji wa kati baada ya wamiliki wake kushindwa kurekebisha makosa...

Viwango vipya CAF, Simba nafasi ya tano

CAIRO, MisriRIPOTI mpya ya viwango vya ubora wa klabu vya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) imetoka na Simba ya Tanzania iko nafasi ya...

Dk.Mwigulu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uzbekistan (2)

LONDON, UingerezaKWA viwango vya sasa vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Uzbekistan inashika nafasi ya 50.Uzbekistan, maarufu kwa jina...

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi akamatwe

Na Mwandishi WetuWaziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameliagiza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi...

WHO: Dunia imeshindwa ukomesha ukatili dhidi ya wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na wadau wa Umoja wa Mataifa limetoa ripoti muhimu leo jijini Geneva, Uswisi, ikibainisha kuwa...

Biteko akabidhi ofisi, aahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ALIYEKUWA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo 20 Novemba, 2025 amemkabidhi  rasmi ofisi Waziri wa Nishati...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume Huru ya Uchunguzi matukio yaliyotokea uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba...

Mayele, Mzize wang’ara tuzo za CAF

RABAT, MoroccoWAKATI straika wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele, akitwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka 2025 kwa upande wa Ligi za Ndani...

Pyramids yaibwaga Simba tuzo za CAF

RABAT, MoroccoPYRAMIDS FC ya Ligi Kuu nchini Misri imetwaa tuzo ya Klabu Bora Afrika kwa mwaka huu, ikiipiku Simba SC ya Tanzania.Mbali ya Simba,...

Mwili wa Joshua warejeshwa nyumbani baada ya kusubiri kwa miaka miwli

Mwandishi Wetu, Gazetini BAADA ya miaka miwili ya kusubiri kwa maumivu na wasiwasi, hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Mtanzania Joshua Mollel (21) aliyedaiwa kuuawa...

Tanzania yaanza kuchukua hatua kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL Serikali ya Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha wananchi hawakatizwi tena na mafuriko yanayosababishwa...

Recent articles