22.2 C
Dar es Salaam

Infographics

Uhifadhi uwe ni fursa kwa wananchi- Dk. Kalumanga

*Atahadharisha kutokubadili matumizi ya eneo la uhifadhi *JET kujenga wigo zaidi kwa waandishi Na Faraja Masinde, Gazetini-Bagamoyo Tanzania ni kati ya nchi chache duniani zilizobarikiwa kuwa na...

IWPG participates in the 68th UN CSWin order to “mitigate gender inequalities through solidarity for peace”

The International Women’s Peace Group (IWPG, Chairwoman Hyun Sook Yoon), an UN-accredited NGO, will participate in the 68th UN Commission on the Status of Women...

Ubalozi wa Kenya kuchangiza Klabu za Mazingira shuleni Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa jamii inaandaa akina Wangari Maathai wengine watakaotunza mazingira, Ubalozi wa Kenya nchini Tanzania umeeleza kuwa upo tayari kuongeza...

Visual| Shoroba 7 Tanzania zitakazomulikwa na mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii nchini, Tanzania ina jumla ya shoroba 61 ambapo 41 zipo hatarini kutoweka kutokana...

Juhudi za pamoja zinahitajika kudhibiti biashara haramu ya viumbe pori

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile...

Chart| Nchi zilizotwaa kombe la AFCON hadi sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Michezo ya hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inatarajiwa kupigwa leo Februari 7, 2024. Katika...

Visual| Changamoto lukuki TPA ikifikia ufanisi 2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Ukosefu wa Magati yanayotosheleza ikiwamo miundombinu isiyotosheleza ya reli na barabara ni moja ya sababu zinazokwamisha bandari ya Dar es Salaam...

Visual| Siku 100 za mzozo Gaza

Mwandishi Wetu na Mashirika Leo Januari 14, 2024 zimetimia siku 100 tangu Kundi la Hamasi lilipoishambulia Israel Oktoba 7, 2023 na kusababisha mzozo mbaya katika...

Visual| Wafanyabiashara acheni kushinda na watoto sokoni-Serikali

Na Patricia Kimelemeta, Gazetini Desemba 2021 Serikali ilizindua Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) Desemba 2021 ikiwa na...

Visual| Ushamiri wa VVU Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Ripoti mpya ya Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI nchini Tanzania inaonesha maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye umri zaidi ya miaka...

Infographic| Tunachofahamu SIKU 74 za mzozo wa Israel-Gaza

Na Faraja Masinde, Gazetini -Kwa msaada wa mashirika mbalimbali ya habari Takriban watu 21,107 wameuwa wakiwamo watoto 7,802 wa Palestina tangu kuanza kwa mashambulizi ya Isarael...

“Tunataka wasichana wafikie ndoto zao maishani”

Na Malima Lubasha, Gazetini SHIRIKA lisilo la kiserikali la Hope for Girls and Women in Tanzania la wilayani Serengeti mkoani Mara linahifadhi wasichana 171 katika...

Recent articles

spot_img