29.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Puuzeni sijatangaza kununua hisa Yanga-Rostam Azizi

*Asema hayupo nchini kwa muda mrefu *Awataka Watanzania kuwa makini na kupuuza taarifa hizo Na Mwandishi Wetu, Gazetini MFANYABIASHARA wa kimataifa, Rostam Azizi amesikitishwa na uwepo wa...

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar atembelea banda la GGML maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo Jumamosi Septemba 30, 2023 ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold...

Waziri madini atembelea banda la GGML, ashuhudia mradi wa uwanja wa kisasa

Na ,wandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho ya sita ya teknolojia...

Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure

*Wanawake wapewa neno Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi...

Wataalam Uganda watinga maonesho ya madini Geita

*Wapewa darasa teknolojia mpya uchimbaji madini Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya Teknolojia ya Madini yamezidi kuwa darasa kwa wadau mbalimbali baada ya wageni kutoka Wizara...

Chart| Umeme siyo anasa, ni hitaji la lazima-Dk. Biteko

Lilian Lundo na Veronica Simba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema umeme sio anasa bali ni hitaji la lazima...

GGML yawanoa Wanafunzi Nyamkumbu kuhusu taaluma ya madini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo...

Jafo: Kampuni za madini zingatieni utunzaji wa mazingira, jifunzeni kwa GGML

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini zinazojihusisha na uchimbajin wa...

Dk. Biteko: Serikali itaendelea kushirikiana na GGML, mpeni ushirikiano Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameahidi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwamba Serikali itaendelea...

Wafanyakazi GGML wajitokeza kuchunguzwa saratani

*Madaktari watoa ujumbe kwa jamii Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) Ijumaa Septemba 22, 2023 wamejitokeza katika maonesho ya...

GGML yatoa msaada wa vifaa tiba kuboresha afya Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya afya mkoani Geita, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa msaada wa vifaa...

Makamu Rais GGML atembelea maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAKAMU Rais wa kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania-GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo leo Ijumaa ametembelea...

Recent articles

spot_img