Na Winfrida Mtoi, Gazetini
SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada ya timu shiriki za michuano hiyo kuanza kuwasili nchini...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
SHAURI la kuporomoka kwa ghorofa la Kariakoo limekwama kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo kwa washitakiwa wa kesi ya mauaji bila...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameiaga rasmi na kuikabidhi bendera timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
NYOTA wa Simba Jonathan Sowah na Allasane Kante wamefungiwa michezo mitano na faini ya Sh 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
BONDIA Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’ hadi aombe maji ulingoni.
Bokya...
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwa linamshikilia Waziri wa zamani, Geoffrey Mwambe, kwa tuhuma za jinai...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
ALIYEKUWA Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama (58) amefariki dunia leo Disemba 11, 2025 jijini Dodoma.
Kwa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
JESHI la Polisi nchini limesema kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama litaendelea kuimarisha hali ya usalama nchini na kulinda...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
RAIS Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, wakijikita katika kudumisha ushirikiano wa...