23.9 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Yanga bingwa Mapinduzi Cup 2026

Na Mwandishi Wetu, Gazetini YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari...

Yacouba atambulishwa Mbeya City

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa  rasmi na  klabu ya Mbeya City akiwa miongoni mwa...

Allan Okello rasmi atua Yanga

Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kumsajili kiungo mshambuliaji raia wa Uganda, Allan Okello kutoka Vipers baada ya kumtambulisha usiku huu..

Mukwala atua kibabe Zanzibar, Simba ikiivaa Azam kesho Mapinduzi Cup

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WAKATI Simba kitarajia kukabiliana na Azam FC kesho katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya kombe la Mapinduzi, mshambuliaji wa...

HaloPesa yahitimisha kampeni ya “Tamba na Bonasi”, yawakabidhi zawadi

Na Imani Nathaniel, Gazetini HaloPesa imehitimisha rasmi kampeni yake ya 'Tamba na Bonasi' baada ya kuwazawadia wateja wake zawadi mbalimbali zikiwemo bonasi na fedha taslimu...

Taifa Stars yafuzu 16 bora AFCON

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TIMU ya Taifa ya Tanzania ' Taifa Stars' imefuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON 2025 kama 'best loser'...

DPP awafutia kesi washtakiwa wawili wa kesi ya kuua bila kukusudia

Na Imani Nathaniel, Gazetini MKURUGENZI Mashitaka nchini (DPP), amewafutia kesi washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia. Waliofutiwa mashtaka na...

Viongozi wa dini watakiwa kutumia lugha nzuri wanapohubiri

Na Imani Nathaniel, Gazetini VIONGOZI wa dini wametakiwa kutumia lugha njema wanapohubiri ili kuimarisha umoja wa kitaifa na kuzuia migawanyiko inayoweza kusababisha machafuko miongoni mwa...

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BONDIA Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O dhidi ya mpinzani wake Stanley Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano katika raundi...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahisha apania rekodi

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake la kesho dhidi ya Mnaigeria, Stanley Eribo litakuwa la...

HaloPesa yawagusa watoto yatima msimu wa sikukuu

Na Iman Nathaniel, Gazetini KAMPUNI ya Halotel kupitia kitengo cha HaloPesa imefanya ziara katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Orphanage Centre, kilichopo Kinondoni, Jijini...

Recent articles

spot_img