24.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Salum Mwalimu, wanachama wengine watangaza kujitoa Chadema, wasema wao sio chawa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu  wa Chadema  Zanzibar, Salum Mwalimu na wanachama wengine wa chama hicho wametangaza kujitoa  katika chama hicho  kwa...

Tanzania, Zambia zakutana kujalidili  uimarishaji mpaka

Na Mwandishi Wetu Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe , kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa...

Viongozi Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Nishati Safi ya Kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katika kongamano la kwanza nishati safi ya kupikia la Afrika Mashariki...

Magereza yaipongeza REA kuhamasisha nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Magereza nchini limepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kuhamasisha, kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa taasisi...

Kampuni 95 za uchimbaji madini zapewa siku 30 kujieleza, hatarini kufungiwa  

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali  imetoa Hati za Makosa kwa Kampuni 95 za Uchimbaji Mkubwa na  Kati wa Madini kutokana na wamiliki wa leseni hizo...

UAE yamtunuku tuzo Rais Samia

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya 'Mother of the Nation Order' kutoka kwa Rais...

Kamati ya Miundombinu yaishauri Serikali kusimamia utekelezaji miradi ya barabara

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi yake yote ili iweze kuakisi viwango bora, uendelevu...

Vipaombele 10 vya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Wizara ya Ujenzi imetaja vipaombele 10 vya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025-2026 ikiwemo kuendelea na ujenzi wa barabara za...

Wizara ya Ujenzi yaja na mizani zisizotumia watu

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Serikali imepanga kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila usaidizi wa mtu (operator) Hayo yameelezwa leo bungeni Machi 5,2025...

Aliyempiga mkwara Padri Kitima kabla ya kushambuliwa akamatwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na kumhoji Frey Edward Cossey ( 51) Mkazi wa Dodoma na...

Yanga yakomaa, yadai haina imani na waongoza soka la ndani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema hauko yatari kupeleka shauri kwenye Kamati za Mamlaka za soka  ndani  kama iliyoelekezwa na Mahakama...

Nzali Next Level kuendelea kupambania Injili ya Kiswahili Marekani, Flora Mayala kutikisa Dallas

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mdau maarufu wa burudani nchini mwenye makazi yake nchini Marekani, Lonely Nzali, ameendelea kusapoti muziki wa Injili Afrika Mashariki kupitia majukwaa yake...

Recent articles

spot_img