27.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Kenya yaomba msaada wa dawa za kifua kikuu kutoka Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya Wafula Nakhumicha amesema Kenya imeomba msaada kutoka Tanzania ili kukabiliana na uhaba wa dawa za Kifua Kikuu nchini...

Marufuku Pikipiki kubeba watoto walio chini ya miaka 9

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kikosi cha Usalama Barabarani kimetangaza kuwa kuanzia wiki ijayo wakati shule zikifunguliwa, dereva wa Pikipiki maarufu kama bodaboda atakayebeba mtoto chini...

Tuzo za EJAT 2023 zazinduliwa Dodoma

*Vipengele vya Gesi, Teknolojia na Sensa vyaondolewa sababu ya ufadhili Na Faraja Masinde, Gazetini Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Umahiri za Uandishi wa Habari Tanzania...

Visual| Namna REA itakavyogawa gesi nchini

Na Veronica Simba, Gazetini Wakala wa Nishati Vijijini (REA), katika Mwaka huu wa Fedha (2023/24), umetenga shilingi bilioni 10 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya...

Mradi wa ReSea wazinduliwa Tanga

*Kunufaisha zaidi ya wananchi 350,000 Na Faraja Masinde, Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amezindua mradi wa ReSea unaolenga uhifadhi wa maeneo makubwa ya...

GGML ilivyong’ara usiku wa madini, yatwaa tuzo mbili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mchango wa Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) umeendelea kutambuliwa na wadau mbalimbali wa sekta ya madini...

Tekelezeni miradi bila kuichafua Serikali-REA

Na Veronica Simba - REA Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini, kuhakikisha wanafanya...

Rostam kuanza kuzalisha umeme Zambia

*Kuanza kwa kuwekeza Bilioni 250 Na Mwandishi Wetu, Lusaka Mfanyabishara wa Kimataifa, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza...

Visual| Mipango ya kuinua kilimo inavyosahaulika kwenye makaratasi Buchosa

Na Clara Matimo, Gazetini Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ina dhamira ya kuona sekta ya kilimo nchini ikipiga...

Rais Samia atunukiwa PHD India, aitoa kwa Watoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 10, 2023 ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa)...

Waziri Jafo akutana na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa ya miradi ya Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa...

GGML yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited imenyakua tuzo nne ikiwamo mshindi wa jumla katika maonesho ya teknolojia ya madini yaliyofanyika kwa...

Recent articles

spot_img