15.5 C
New York

Chelsea watambulisha ‘jembe’ jipya

Published:

Chelsea watambulisha ‘jembe’ jipya
LONDON, England
KLABU ya Chelsea imethibitisha usajili wa winga wa kimataifa wa England, Jamie Gittens.
Nyota huyo aliyetokea Bundesliga alikokuwa akiitumikia Borussia Dortmund, ameigharimu Chelsea kitita cha Pauni milioni 52.
Ikumbukwe, Gittens mwenye umri wa miaka 20 anakuwa mchezaji wa saba kusajiliwa na Blues majira haya ya kiangazi.

Related articles

spot_img

Recent articles

spot_img