23.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Ubingwa La Liga … Jeuri ya Barca iko hapa

CATALUNYA, Hispania USHINDI wa mabao 2-0 mbele ya Real Madrid jana Mei 10, 2026 umeipa Barcelona ubingwa wa msimu huu wa Ligi Kuu ya Hispania...

Barcelona wafalme wa La Liga

BARCELONA, Hispania FC Barcelona wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuichapa Real Madrid mabao 2-0 katika mchezo mkubwa wa El Clásico uliochezwa kwenye...

Senegal yakaza kamba kwa wabunge wanaosusia bunge

DAKAL, Senegal BUNGE la Senegal limepitisha sheria mpya inayolenga kudhibiti tabia ya baadhi ya wabunge wanaosusia vikao vya Bunge bila sababu za msingi, hatua ambayo...

Trump: Hatujamalizana na Iran, tumewashinda

WASHINGTON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hakuwahi kutangaza kumalizika kwa operesheni za kijeshi dhidi ya Iran bali alieleza kuwa Marekani imefanikiwa kuishinda Iran...

Tunachofahamu kuhusu matumizi ya gesi asilia Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KWA mujibu wa Serikali hadi Aprili 2026 jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na huduma ya gesi asilia katika mikoa ya Mtwara,...

Upinzani Burundi watishia kutoshiriki uchaguzi wa rais

BUJUMBURA, Burundi MVUTANO wa kisiasa umeanza kuongezeka nchini Burundi baada ya vyama vikuu vya upinzani kutangaza kusitisha ushiriki wao katika uchaguzi wa rais wa mwaka...

Mahakama yafufua hoja ya kumng’oa Ramaphosa

JOHANNESBURG, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, anakabiliwa na presha mpya ya kisiasa baada ya Mahakama ya Katiba kuamua kuwa Bunge lilikosea kisheria...

WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya Covid-19

GENEVA, Uswiz Hofu imeendelea kuongezeka duniani kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta (Hantavirus) ulioripotiwa ndani ya meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius, baada...

Mwaka mmoja wa Papa Leo XIV ulivyobadili taswira ya Vatican

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWAKA mmoja baada ya kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, Mei 8, 202, ameendelea kuvuta hisia za...

Wananchi 1,700 kulipwa bilioni 5.1 kupisha mradi wa umeme Mtwara-Lindi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia...

Salome: Nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema hadi Aprili 2026, jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia katika...

Mbunge ataka shule jumuishi kila mkoa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Nasria Nasri Ally, ameishauri Serikali kujenga shule jumuishi katika kila mkoa...