24.7 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Spika wa Bunge amhakikishia ushirikiano Dk. Mwapinga

Na Mwandishi Wetu Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amemhakikishia ushirikiano Katibu Mkuu wa Jukwaa...

TATA Tanzania yaja na suluhisho sekta ya usafirishaji mizigo, abiria

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Kampuni ya magari ya TATA Tanzania imezindua mpango maalum kwa ajili ya sekta ya usafirishaji wa mizigo mikubwa nchini kwa kuzindua...

DCP Mambosasa afungua mafunzo ya medani za kivita

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dk. Lazaro Mambosasa amefungua mafunzo ya medani...

Rais atangaza kifo cha Cleopa Msuya

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan  ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa  Rais na...

Salum Mwalimu, wanachama wengine watangaza kujitoa Chadema, wasema wao sio chawa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu  wa Chadema  Zanzibar, Salum Mwalimu na wanachama wengine wa chama hicho wametangaza kujitoa  katika chama hicho  kwa...

Tanzania, Zambia zakutana kujalidili  uimarishaji mpaka

Na Mwandishi Wetu Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe , kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa...

Viongozi Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Nishati Safi ya Kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katika kongamano la kwanza nishati safi ya kupikia la Afrika Mashariki...

Magereza yaipongeza REA kuhamasisha nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jeshi la Magereza nchini limepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kuhamasisha, kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa taasisi...

Kampuni 95 za uchimbaji madini zapewa siku 30 kujieleza, hatarini kufungiwa  

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali  imetoa Hati za Makosa kwa Kampuni 95 za Uchimbaji Mkubwa na  Kati wa Madini kutokana na wamiliki wa leseni hizo...

UAE yamtunuku tuzo Rais Samia

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya 'Mother of the Nation Order' kutoka kwa Rais...

Kamati ya Miundombinu yaishauri Serikali kusimamia utekelezaji miradi ya barabara

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi yake yote ili iweze kuakisi viwango bora, uendelevu...

Vipaombele 10 vya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Wizara ya Ujenzi imetaja vipaombele 10 vya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2025-2026 ikiwemo kuendelea na ujenzi wa barabara za...