Na Faraja Masinde, Gazetini
Katika kuhakikisha kuwa jamii inaandaa akina Wangari Maathai wengine watakaotunza mazingira, Ubalozi wa Kenya nchini Tanzania umeeleza kuwa upo tayari kuongeza...
*Asisitiza upandaji miti kwa ajili ya heshima ya Wangari
Na Faraja Masinde, Gazetini
“Katika mambo ambayo Wangari alihimiza na kuzingatia ni kwamba sisi tuna wajibu kama...
*Mtaalam aeleza vinavyosababisha mtindio wa ubongo kwa watoto
Na Faraja Masinde, Gazetini
Kundi la Wanawake na Watoto limetajwa kuwa hatarini zaidi kuathirika na matumizi ya viuatilifu...
Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo
Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) kwa niaba ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii nchini, Tanzania ina jumla ya shoroba 61 ambapo 41 zipo hatarini kutoweka kutokana...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile...
*Wataalam waonya huku wakieleza inavyoathiri wanyama
Na Faraja Masinde, Gazetini
Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo linaliokabili Dunia katika karne hii ya 21 ambapo athari zake zimekuwa...
By Our Correspondent, Gazetini
THE journalists Environmental Association of Tanzania (JET) has organized a two-day tailor-made training for journalists to furnish them with the sufficient...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kimeandaa mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari za Mazingira kutoka...
Na Faraja Masinde, Gazetini
Serikali inaendelea na uratibu wa shughuli mbalimbali baada ya maafa ya maporomoko ya tope, mawe, magogo na maji kutoka mlima Hanang...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Gazetini imekufanyia uchambuzi wa Taarifa fupi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa leo Desemba 5, 2023, kuhusu maendeleo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake...