27.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

Visual|Maendeleo ya uokoaji wa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Gazetini imekufanyia uchambuzi wa Taarifa fupi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotolewa leo Desemba 5, 2023, kuhusu maendeleo...

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake...

Kipengele cha Gesi, Mafuta na Madini charudishwa tuzo za EJAT

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) 2023, imelirudisha kundi la Habari za Gesi, Mafuta...

Waziri Jafo akutana na wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa ya miradi ya Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa...

Jafo: Kampuni za madini zingatieni utunzaji wa mazingira, jifunzeni kwa GGML

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini zinazojihusisha na uchimbajin wa...

Visua| Hii ndiyo Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Amani

Na Faraja Masinde, Gazetini NI Hifadhi iliyotawaliwa na ukimya mkubwa. Kelele zake utazisikia kupitia ndege tu wanaoruka kutoka tawi moja kwenda jingine wakijitafutia chakula chao...

GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa kiasi cha Sh milioni 150 kudhamini...

Mradi wa Heshimu Bahari kuimarisha mazingira ya bahari Tanzania

Na Mwandishi Wetu, ZanzibarMRADI wa Heshimu Bahari umelenga kuimarisha mazingira ya bahari na viumbe vyake katika maeneo ya hifadhi, ili kukuza hifadhi ya bahari...

Tunachofahamu kuhusu Usambara Eagle Owl

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na machapisho mbalimbali, Bundi ni miongoni mwa ndege ambae huishi kutegemea nyama kama chakula chake kikuu. Bundi hutafuta mawindo yake nyakati...

Shoroba za Derema-Amani Nilo zitakavyochochea ustawi wa wanyama Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali iko katika mbioni kuunganisha Shoroba mbili za Derema na Amani Nilo zinazopatikana ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mazingira Asilia...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

Chart| Tembo wanavyoitesa Serikali Same

*Wadau wasema utafiti wa kina unahitajika ili kupata suluhu Na Jackline Jerome, Gazetini Vijiji 25 wilayani Same mkoani Kilimanjaro Kaskazini mwa Tanzania yamegauka kuwa maskani ya...

Recent articles

spot_img