27.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

TUI Care Foundation empowers indigenous communities and plants trees with the new TUI Forest Peru

*Celebrating International Day of Forests on March 21st, TUI Forest Peru is pledging to plant a total of 1.9 million trees in the famous...

Uhifadhi uwe ni fursa kwa wananchi- Dk. Kalumanga

*Atahadharisha kutokubadili matumizi ya eneo la uhifadhi *JET kujenga wigo zaidi kwa waandishi Na Faraja Masinde, Gazetini-Bagamoyo Tanzania ni kati ya nchi chache duniani zilizobarikiwa kuwa na...

Ubalozi wa Kenya kuchangiza Klabu za Mazingira shuleni Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa jamii inaandaa akina Wangari Maathai wengine watakaotunza mazingira, Ubalozi wa Kenya nchini Tanzania umeeleza kuwa upo tayari kuongeza...

Balozi Njenga: Kila mmoja anadeni la kutunza mazingira

*Asisitiza upandaji miti kwa ajili ya heshima ya Wangari Na Faraja Masinde, Gazetini “Katika mambo ambayo Wangari alihimiza na kuzingatia ni kwamba sisi tuna wajibu kama...

Viuatilifu vinawaweka wanawake na watoto katika hatari ya kupata saratani

*Mtaalam aeleza vinavyosababisha mtindio wa ubongo kwa watoto Na Faraja Masinde, Gazetini Kundi la Wanawake na Watoto limetajwa kuwa hatarini zaidi kuathirika na matumizi ya viuatilifu...

JET, GIZ zawanoa waandishi wa habari kuhusu migongano ya binadamu na wanyamapori

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa ufadhili wa  Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) kwa niaba ya...

Visual| Shoroba 7 Tanzania zitakazomulikwa na mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii nchini, Tanzania ina jumla ya shoroba 61 ambapo 41 zipo hatarini kutoweka kutokana...

Juhudi za pamoja zinahitajika kudhibiti biashara haramu ya viumbe pori

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile...

TFS: Uvamizi maeneo ya hifadhi ni chanzo cha mabadiliko ya Tabianchi

*Wataalam waonya huku wakieleza inavyoathiri wanyama Na Faraja Masinde, Gazetini Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo linaliokabili Dunia katika karne hii ya 21 ambapo athari zake zimekuwa...

JET to train journalists on Combating Wildlife Crime reporting  

By Our Correspondent, Gazetini THE journalists Environmental Association of Tanzania (JET) has organized a two-day tailor-made training for journalists to furnish them with the sufficient...

JET kuwajengea uwezo waandishi wa habari kuhusu uhifadhi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kimeandaa mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari za Mazingira kutoka...

Visual| Watoto walivyoathirika na mafuriko Hanang

Na Faraja Masinde, Gazetini Serikali inaendelea na uratibu wa shughuli mbalimbali baada ya maafa ya maporomoko ya tope, mawe, magogo na maji kutoka mlima Hanang...

Recent articles

spot_img