22.2 C
Dar es Salaam

Infographics

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

Chart| Madhila yaliyowapata Waandishi wa Habari nchini Tanzania Mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MATUKIO ya wanahabari kunyimwa taarifa kwenye vyanzo vya habari yameripotiwa kuwa mengi zaidi ukilinganisha na yale ya vitisho, kukamatwa, kupigwa, kufungiwa,...

Chart| Fahamu hali ya Uhifadhi Tanzania kufikia sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah  Kairuki ametangaza rasmi matokeo ya sensa  ya wanyamapori katika mifumo  mitatu ya ikolojia ya Nyerere-Selous-Mikumi, Saadani-Wamimbiki...

TARURA Rukwa yaboresha miundombinu ya barabara

Na Catherine Sungura-TARURA Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kwa kujenga barabara, vivuko na madaraja katika...

Chart| Mwenendo wa wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu

Na Faraja Masinde, Gazetini Takwimu za Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA)zinaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la matukio ya wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu...

Chart| Miundombinu shuleni bado changamoto

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Pamoja na jitihada za Serikali za kukabiliana na tatizo la upungufu wa miundombinu ya elimu katika shule ikiwamo kujenga majengo mapya...

NIDA ilipofikia utoaji wa vitambulisho vya Taifa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) hadi sasa imefanikiwa kusajili...

IWPG Global Region 2, signs an agreement with University Ministry of Africa Trust(UMOA)

On the 13th, Global Region 2 of the International Women's Peace Group (IWPG, Regional director Seoyeon Lee) held an online MOA signing ceremony to...

Mvua yaua watu 50, nyumba 1,000 zabomolewa

Na Nora Damian, Gazetini Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zimesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini. Vifo 28 zimeripotiwa kutokea...

Shule 60 Tanzania zitakavyonufaika na mpango wa TWIGA WA KIJANI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wezesha Binti na Mama Mjasiriamali (WBM) linatarajia kupanda miti 6,000 ndani...

Hali ya usimamizi wa usalama na afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inachukua kila jitihada kuhakikisha wafanyakazi nchini wanalindwa dhidi ya...

Chart| Nchi 20 zenye uchumi unaokua kwa kasi 2024

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Oktoba, 2023 Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) lilichapisha Orodha ya nchi 20 duniani ambazo uchumi wake unatarajiwa kukua kwa kasi...

Recent articles

spot_img