28.7 C
Dar es Salaam

Featured

Visual| Tunachofahamu kuhusu ndoa za mitala Tanzania

Kwa mujibu wa Matokeo Muhimu ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania wa mwaka 2015-16, yanaonyesha kuwa asilimia...

Wanawake wa mijini ni wanene mara mbili zaidi

Utafiti wa TDHS-MIS 2015-16 unaonyesha kuwa 42% ya wanawake wa mijini ni wazito au wanene mara mbili zaidi ya wale wa vijijini. Uzito uliokithiri na...

Visual| Tunayofahamu kuhusu Bajeti Kuu ya Serikali 2022/2023

Na Faraja Masinde, Gazetini Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha wa 2022/2023. Dk. Nchemba amewasilisha...

Wanawake na Vijana kunufaika na ajira milioni 3

Na Faraja Masinde, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa inakabiliana na makali ya ukosefu wa ajira, Serikali imepanga kutengeneza ajira za wanawake na vijana milioni 3 kote...

Serikali na mkakati wa kusajili watoto wote nchini

Na Faraja Masinde, Gazetini SERIKALI imeagiza kusajiliwa kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano na kwamba huduma hiyo inatolewa bure. Wito huo umetolewa Juni...

Visual| Kwanini uwekeze kwa Mkunga

Na Faraja Masinde, Gazetini Maisha ya wanawake 556 wanaofariki dunia kutokana na uzazi yanaweza kuokolewa iwapo tu uwekezaji utafanyika kwa Wakunga. Aidha, vifo vya watoto 67...

Visual| Ushamiri wa VVU nchini Tanzania

Hali ya Ushamiri kwa kila Mkoa(%) Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha kuwa inatokomeza janga la UKIMWI kufikia mwaka 2030 kama ilivyo pia katika...

Infographic| Idadi ya watu Afrika Mashariki kufikia mwaka 2050

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rasmi Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jumanne ya Machi 25, 2022 waliidhinisha na kuikaribisha rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Infographic| OSHA inavyosaidia kukuweka salama kazini

Mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kwamba uchumi wa nchi unaimarika hususan sekta ya viwanda. Hata...

Visual| Mkwanja wa Azam na msisimko wake TPL 2021-22

HAKUNA namna nyingine zaidi ya uwekezaji wa maana ndipo maendeleo ya mchezo wa soka yaweze kuonekana. Uwekezaji si tu huziwezesha klabu kumudu gharama za...

Infographic| Duterte; Rais asiyeishiwa vituko anayewindwa na ICC

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inaendesha upelelezi dhidi ya Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, juu ya madai ya mauaji aliyotekeleza katika operesheni yake...

Infographic|Nini hatima ya Afghanistan chini ya Taliban

WIKI iliyopita, wachambuzi wa masuala ya kiusalama nchini Marekani walionya, wakisema zimebaki wiki chache tu Kundi la Taliban kurudi madarakani nchini Afghanistan. Ikumbukwe kuwa angalizo...

Recent articles

spot_img