28.7 C
Dar es Salaam

Featured

Visual| Tuwekeze kwenye elimu kudhibiti mila hatarishi, VVU

Na Faraja Masinde, Gazetini "Lakini siyo mila na desturi ziangaliwe tu, bali ziachwe kabisa kwani ni hatarishi na zinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi, mfano...

Unyanyapaa unavyowapitisha WAVIU katika mstari wa kifo

Na Faraja Masinde, Gazetini "Nilipata maambukizi ya VVU nikiwa na miaka 24, baada ya kupata mwanaume mwenye pesa sana lakini kumbe alikuwa na maambukizi, ndugu...

Visual| Geita inavyoitikia Uzazi wa Mpango

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkoa wa Geita ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Umepakana na Kagera upande wa Magharibi, Shinyanga upande wa Kusini na Mwanza...

Infographic| Mambo unayopaswa kufahamu kuhusu TAWA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Management Authority - TAWA) ilianzishwa kwa mujibu wa Kifungu cha 8 cha Sheria...

Visual| Tanzania inavyodhibiti Polio

Na Faraja Masinde, Gazetini Hadi sasa Tanzania imefanikiwa kutoa chanjo ya Polio kwa Watoto 27,952,164 wenye umri chini ya miaka mitano. Idadi hiyo ni baada ya...

How to start trading forex in Tanzania

How to start trading forex in Tanzania Retail Forex trading in Africa has expanded rapidly over the past few years, and new market laws have...

Visual| Idadi ya Watoto Tanzania kabla ya Sensa 2022

Na Faraja Masinde, Gazetini Agosti 23, mwaka huu Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya Watu na Makazi ikiwa ni sensa ya sita kufanyika tangu Muungano wa...

Visual| Ukosefu wa elimu unachochea ukatili Tanzania

Na Jackline Jerome, Gazetini Asilimia 53 ya wanaume ambao hawana elimu wanaongoza kuwafanyia ukatili wenza wao. Utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia 42 ya wanawake waliowahi kuolewa...

MAP| Usajili wa Watoto Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazeti Kwa miaka ya nyuma suala la usajili wa watoto na kupata vyeti vya kuzaliwa ilikuwa siyo kipaumbele cha wazazi walio wengi,...

Visual| Asilimia 26 ya watoto waliozaliwa miaka mitano kabla ya 2010 hawakutarajiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kwa mujibu wa Utatifi wa Demografia na Afya Tanzania wa mwaka 2010 ulikadiria kuwa asilimia 26 ya watoto waliozaliwa katika kipindi...

Visual| Tunachofahamu kuhusu chanjo ya Uviko-19 Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Hadi kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18...

Visual| Miaka 40 ya UKIMWI: Namna Afrika ilivyotikiswa

Na Faraja Masinde, Gazetini Ni zaidi ya miaka 40 sasa tangu kuripotiwa kwa kisa cha Virusi Vya UKIMWI, hata hivyo bado ugonjwa huo umeendelea kuwa...

Recent articles

spot_img