24.2 C
Dar es Salaam

Featured

Makala| ‘Kamari’ ya maisha mazuri inavyopeperusha nguvu kazi ya Taifa

Na Faraja Masinde, Gazetini Tanzania, kama zilivyo nchi zingine za Afrika, imeendelea kugubikwa na changamoto ya uhaba wa ajira, hasa kwa kundi la vijana na...

Chart| Halmashauri 10 zilizozima Posi kwa muda mrefu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema wakurugenzi wa halmashauri ambao...

Infographic| Tunachofahamu kuhusu ndege mpya ya Boeing 767-300F

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 3, 2023 Tanzania imepokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767-300F, ni wazi kuwa hatua hiyo itachochea kukuza...

Zaidi ya Milioni 200 kudhibiti wanyama wakali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini SHIRIKA la Frankfurt Zoological Society(FZS) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara,wamezindua Mradi wa kudhibiti  wanyama wakali na...

Chart| Mwenendo wa Utekelezaji wa Mradi wa JNHPP

Na Jackline Jerome, Gazetini Tanzania inatekeleza ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme waMW 2,115 kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji maarufu kama Bwawa...

Chart| SADC inavyoinufaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kulingana na Ripoti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ya mwaka 2023, inaonyesha kuwa kumekuwa na ongezeko la bidhaa za...

Infographic| Maambukizi mapya ya VVU bado ni mtego kwa vijana

*TACAIDS yasema mapambano bado hayajaisha *Nyenzo ya Kondomu yasisitizwa Na Mwandishi Wetu, Gazetini Maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI ni kama bado yameendelea kuwa mtego kwa...

Visual| Tunayofahamu kuhusu Ikulu mpya ya Chamwino

Na Faraja Masinde, Gazetini Mei 20, 2023 Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alizindua Ikulu mpya ya Chamwino mkoani Dodoma kama ofisi na makazi rasmi ya...

Chart| Hali ya ukosefu wa chanjo kwa watoto Kusini na Mashariki mwa Afrika

Na Hassan Daudi, Gazetini Ripoti ya Mwaka ya Hali ya Watoto Duniani iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) inayofahamika kama "State...

Kuzuia Kisukari na Shinikizo la Damu; Mwanzo ni kujitambua

Na Tulinagwe Malopa, Gazetini Kisukari na shinikizo la damu ni magonjwa yanayoathiri mamilioni ya watu Tanzania na duniani kote. Hata hivyo, wengi wetu hatujui kuhusu...

Visual| Tanzania na mkakati wa kudhibiti Malaria 2030

Na Jackline Jerome, Gazetini Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa katika kuhakikisha ugonjwa wa Malaria unadhibitiwa huduma za ugonjwa huo zitaanza kutolewa bure katika vituo vya...

Chart| Uchumi wa Tanzania wapaa miaka miwili ya Rais Samia – IMF

*Pato la Taifa lafikia Sh trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh trilioni 163 ya mwaka 2021 *Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi...

Recent articles

spot_img