24.6 C
Dar es Salaam

Featured

Makala| Safari ya Siah Malle katika uhandisi inavyochochea vipaji vipya vya wanawake wenye ndoto kubwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Siah Malle ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye amefanikiwa kuvunja dhana iliyojengeka na kuwagawa wanawake na wanaume kwenye uwanja wa taaluma...

Makala| Vipepeo; kitega uchumi kinachokumbukwa Muheza

*Serikali yasisitiza wananchi kuwa na subira Na Faraja Masinde, Muheza “…tuliumia sana, tukawaachia tu wakaruka na kwenda zao. Tukasema hatuna cha kufanya… na wakati huo ndiyo...

Hii ni Afrika: Onesho la sanaa ya muziki wa majukwaa linalolenga kufufua sanaa hiyo Tanzania

*Ni onesho linalolenga kufufua, kurejesha na kupeleka sanaa ya majukwaa ya Tanzania kimataifa *Litafanyika Agosti 12 na 13, 2023 katika Makumbusho ya Taifa jijini Dar...

GGML yadhamiria kuendeleza wahandisi wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya AngloGold Ashanti - Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya...

T-HAKIKI mkombozi wa kukabiliana na mbegu bandia kwa wakulima

*Wakulima waita wenzao kujisajili Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo...

‘Acheni kutumia chupa kunyonyesha watoto’

Na Faraja Masinde, Gazetini Wataalamu wa lishe wameshauri akina mama wanaonyonyesha kuacha kutumia chupa zinazouzwa maduka ya dawa kunyonyeshea watoto kwani hatua hiyo inachochea watoto...

GGML: Tupo tayari kushirikiana na TANESCO

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema ipo tayari kushirikiana kikamilifu na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kwa kutumia umeme...

Infographic| Ufanisi wa TIC kwa miaka mitatu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA ni miongoni mwa nchi zenye fursa nyingi za uwekezaji katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki, sambamba na hilo kwa siku...

GGML inavyoacha alama isiyofutika Geita

*...yatoa msaada wa madawati 8,823 Na Mwandishi Wetu, Gazetini KATIKA kutimiza dhamira ya kuimarisha sekta ya elimu na kuwezesha mazingira ya utoaji elimu nchini kuwa ya...

Mtoto wa miezi miwili anyweshwa sumu ya kuulia wadudu Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini NI unyama! Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Kenokwe kata ya Mosongo wilayani Serengeti mkoani...

“Kama mnapanga siku na saa ya kukutana, usisahau kinga”-Dk. Kikwete

*Asema GGML wameonyesha njia udhibiti wa VVU *...ataka vijana kujihadhari Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Kill Challenge inavyosukuma jitihada za kudhibiti UKIMWI nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete amepongeza kampeni maalum ya kuchangia fedha katika utekelezaji wa afua...

Recent articles

spot_img