25.7 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex Ilala Jijini Dar es Salaam kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na...
Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema linamshikilia na kumhoji Diana Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa tuhuma za kuyageuza makazi yake kuwa kanisa na kuendesha shughuli za kidini bila usajili, kufanya mahubiri kwa waumini...

Bunge lapitisha  Sh 2.746 Trilioni  bajeti ya Wizara ya Uchukuzi

Na Mwandishi Wetu Bunge la Tanzania limeidhinisha Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yenye jumla ya Sh 2.746 trilioni kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake...

Dk. Biteko afanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Morocco

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametembelea Bunge la Morocco ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi...

Rais Mwinyi: Tutamuenzi Charles Hilary kwa utendaji wake

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza viongozi mbalimbali na mamia ya Wananchi katika maziko...

Rais wa Finland ziarani nchini, Rais Samia ampokea

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, amewasili nchini na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais Samia Suluhu Hassan, kisha kukagua  gwaride la...

Tanzania, Ivory Coast zajadiliana fursa za kilimo

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia,...

Nane kuamua ubingwa daraja la nne Nyamagana, Mabula agawa vifaa

Na Mwandishi wetu, Mwanza Timu nane zilizofuzu hatua ya robo fainali (Super 8) itakayochezwa kwa mtindo wa mzunguko zinatarajia kuamua bingwa wa michuano ya Ligi...

Kagera Sugar rasmi yashuka daraja

Na Mwandishi Wetu Kutokana na ushindi wa Pamba Jiji wa mabao 2-0 dhidi ya KenGold, umeishusha rasmi daraja Kagera Sugar ambayo kwa nafasi na pointi...

Rais Samia aongoza  mazishi ya Hayati Cleopa Msuya,  ataja mambo ya kujifunza

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Cleopa Msuya...

Jeshi la Polisi lataja sababu ya kumkamata kiongozi wa Chadema

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limemkamata Naibu Katibu Mkuu  Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Aman Golugwa...

Bosi DRFA afungiwa  na TFF miaka sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),Ramadhan Missiru amefungiwa na Kamati ya Maadili ya Soka Tanzania...

Sakata lake na Harmonize, Ibraah ashusha pumzi Basata

Na Mwandishi Wetu Baada ya kutoka ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah 'Ibraah', amesema ishu yake Konde...

Viongozi wa Serikali waongoza  wakazi wa Mwanga kuaga mwili wa  Hayati Cleopa Msuya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Viongozi mbalimbali na   wakazi wa Mwanga na maeneo ya jirani kuaga mwili wa aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na...

Recent articles

spot_img