27.1 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

Gugu asisitiza umuhimu wa ushirikiano Kikanda kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Ally Gugu, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kukabiliana na uhalifu unaovuka...

Makanisa sita ya Gwajima yafungiwa  Mbeya

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyokuwa yakiendelea  na huduma katika maeneo tofauti mkoani...

Serikali yachukua hatua kukabiliana na migogoro ya ardhi Morogoro

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey  Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kukabiliana na migogoro ya...

Rais wa zamani Zambia, Edgar Lungu afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Rais   wa  zamani  wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia  akiwa na umri wa miaka 65 baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Lungu amefariki akita latina matibabumaalum kwenye...

Rais Samia aongoza harambee uchangiaji ujenzi kituo cha watoto, achangia milioni 150

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan ameongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre ambapo...

Serikali itaendelea kuisimamia sekta ya afya-Majaliwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu itaendelea kuisimamia na kuipa hadhi sekta ya...

Sheikh Ponda atangaza  rasmi kuwa mwanachama mpya ACT Wazalendo

Na Mwandishi Wetu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, leo Alhamisi Juni 5, 2025, ametangaza kujiunga na Chama cha...

Dk. Mpango atoa rai kwa wafamasia kusaidia jamii kuepuka madhara ya dawa

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ametoa rai kwa wafamasia nchini kuendelea kulipa kipaumbele suala la...

Kubeti  kwachangia bilioni 17 pato la Taifa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni ...

TANESCO yatakiwa kubuni vyanzo vipya vya umeme

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuendelea na kasi...

Raia  nchi 71 kuingia Tanzania bila viza

Na Mwandishi Wetu Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Hayo yamesemwa na...

Wizara ya Fedha yaoamba Sh 20.19  trilioni,  deni la Serikali  10.19 trilioni zimelipwa

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameliomba Bunge la  Tanzania kuidhinisha Sh 20.19  trilioni kwa ajili ya bajeti ya wizara hiyo kwa...

Recent articles

spot_img