30.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dk. Mustapher Siyani, amepongeza ushirikiano unaoendelea baina ya Mahakama na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), akisema ni muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta...

Migogoro ya viongozi yamchefua Dk. Biteko

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha...

Dk. Tulia awataka watanzania kuulinda Muungano kwa wivu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amesema...

Serikali yasajili miradi 73 ya biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema katika kuimarisha sekta ya hifadhi na...

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Ramadhan Hassan, Gazetni-Dodoma SERIKALI imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26, ambavyo vinakusudia...

Dk. Mpango aweka jiwe la msingi ujenzi wa viwanja Zanzibar

*Asema serikali zote mbili zimedhamiria kufanya mageuzi sekta ya michezo Na Mwandishi Wetu, Gazetini Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...

Balozi Nchimbi akabidhiwa ‘kifimbo’ cha Mwalimu

Na Mwandhishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel  Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere,...

Serikali yawasilisha  bungeni vipaombele vitano vya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Mwandishi wetu Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi...

Serikali yajipanga kujenga mradi mkubwa wa umeme Monduli

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema  amesema kuwa mwaka huu Serikali inatarajia kujenga mradi mkubwa wa...

DCEA yakamata kilo 4,568 za dawa za kulevya

*Tani 14 kemikali bashirifu zazuiwa kuingia nchini Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mamlaka  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya...

Serikali kuendeleza mabonde kukabiliana na mafuriko

Na Mwandishi wetu, Gazetini Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo...

Mjumbe Maalum wa Rais Samia, Jakaya Kikwete akutana na Rais wa Burkina Faso

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha...

WHI yaridhishwa na maendeleo ya mradi wa nyumba 101 Mikocheni

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bodi ya Uwekezaji na Fedha ya Watumishi Housing Investment (WHI) imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba...

Recent articles

spot_img