24.8 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Timaya: Sijaacha muziki, nimepumzika

LAGOS, NigeriaSTAA wa muziki wa Afrobeat, Timaya, ameweka wazi kuwa ukimya wake kwenye 'gemu' haumaanishi kuwa amestaafu.Timaya alianza kuchomoza kwenye soko la muziki mwaka...

Durant aondoka Phoenix, atua Houston

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), Kevin Durant, amejiunga na Houston Rockets akitokea Phoenix Suns.Durant ameiacha Phoenix baada ya...

Mambo 10 kuhusu Zubimendi wa Arsenal

LONDON, EnglandARSENAL wamekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Hispania, Martin Zubimendi, aliyetua klabuni hapo akitokea Real Sociedad kwa ada ya Pauni milioni 60.Makala...

Bayern: Musiala bado sana kurudi uwanjani

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Jamal Musiala, atakuwa nje ya dimba kwa muda mrefu.Musiala alivunjika mguu wikiendi iliyopita, wakati Bayern...

Musk, Trump; nini hatima vita ya fedha, mamlaka?

NA HASSAN DAUDIHATUA ya bilionea wa teknolojia, Elon Musk, kuanzisha Chama cha siasa cha 'America Party' mwishoni mwa wiki hii kimekoleza uhusiano wake mbaya...

Balotelli awindwa Marekani, Mexico

LOS ANGELES, MarekaniKLABU za Ligi Kuu ya Marekani (MLS) na zile za Mexico (Liga MX) zinapigana vikunbo kuiwania saini ya mpachikaji mabao wa zamani...

Trump akiri kushindwa vita Urusi-Ukraine

NEW YORK, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa haoni kama atafanikiwa kuimaliza vita inayoendelea kati ya mataifa ya Ulaya Mashariki, Urusi na Ukraine.Hata...

TSA yateua waogeleaji wa kuiwakilisha Tanzania Aquatics Kanda ya III

Na Mwandishi Wetu Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimefanya uteuzi wa awali wa waogeleaji watakaoshiriki Mashindano ya Africa Aquatics Kanda ya III, yatakayofanyika Oktoba 16-19,...

Mandonga atambulisha ngumi mpya, King Class, Nasibu Ramadhani moto utawaka

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kuelekea pambano la ngumi la 'Dar Boxing Derby', bondia Karim Mandonga kama kawaida yake, ametambulisha ngumi mpya atakayompigia mpizani wake Shaban...

Polisi wavamia mazishi ya Jota

MERSEYSIDE, EnglandPOLISI wamelazimika kuingilia kati na kuzuia kundi la mashabiki waliokuwa wakipiga picha katika kaburi la staa wa Liverpool na timu ya taifa ya...

Chelsea watambulisha ‘jembe’ jipya

Chelsea watambulisha 'jembe' jipyaLONDON, EnglandKLABU ya Chelsea imethibitisha usajili wa winga wa kimataifa wa England, Jamie Gittens.Nyota huyo aliyetokea Bundesliga alikokuwa akiitumikia Borussia Dortmund,...

Watatu upinzani washikiliwa Uturuki

ANKARA, UturukiVIONGOZI watatu wa chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki wanashikiliwa na jeshi la polisi.Taarifa zaidi zinawataja waliokamatwa kuwa ni mameya wa majimbo ya...