27.1 C
Dar es Salaam

Ukimwi

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na kuwakutanisha wadau wa utalii kutoka maeneo mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inakuwa kimbilio la walimu ambao ni kundi kubwa katika utumishi wa umma...

TACAIDS yakutanisha wadau kujadili matokeo ya Tafiti za VVU na UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewakutanisha wadau wa taasisi zinazofanya tafiti kuhusu VVU na UKIMWI nchini kujadili matokeo ya tafiti...

TACAIDS yahimizwa kuongeza kasi ya huduma za VVU na UKIMWI kwa jamii za wavuvi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeitaka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kuongeza juhudi katika...

VETA, TACAIDS kushirikiana kuwanusuru vijana na maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, GazetiniMamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Septemba 23, 2024, wamesaini...

TACAIDS yapongezwa kwa malengo yanayotekelezeka ya kumaliza UKIMWI ifikapo 2030

Na Nadhifa Omary, TACAIDS Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imepongeza Menejimenti ya Tume hiyo  kwa kujiwekea malengo yanayotekelezeka yenye lengo la kumaliza...

Utafiti| Asilimia 15 ya wagonjwa wa VVU wana kiwango cha juu cha sukari

Na Nora Damian, Gazetini Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umebaini asilimia 15 ya wagonjwa wenye Virusi vya UKIMWI...

Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua-TACAIDS

*....yadhamiria kupunguza zaidi Na Faraja Masinde, Gazetini Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kutoka asilimia 7 hadi kufikia asilimia...

Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili...

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

TACAIDS yawataka wadau kushiriki upatikanaji fedha za Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary, Gazetini-Dodoma Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), imehimiza wadau kutoa ushirikiano kwa maoni na mawazo yao chanya ambayo yataboresho mkakati wa ukusanyaji fedha...

Kamati yaridhishwa namna Magereza Chato linavyotekeleza mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omar, Chato Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetembelea Gereza la Wilaya ya Chato kwa lengo la kujionea namna mwitikio...

TACAIDS Yakutanisha Wadau Kujadili vyanzo endelevu vya Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary - TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania - TACAIDS kwa kushirikiana na wadau wamefanya Kikao cha Siku tatu jijini Arusha kwa lengo...

Baraza la Wafanyakazi TACAIDS lafanyika na kupata viongozi wapya

Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dk. Jerome Kamwela, ameongoza kikao cha Baraza la wafanyakazi la Tume...

Recent articles

spot_img