22.2 C
Dar es Salaam

Ukimwi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Serikali kupitia Mamlaka ya Maji Kibondo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 1.49 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa tanki la maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 1,500,000, ambalo ujenzi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko Bagamoyo, Pwani, juu ya namna bora ya kuripoti migongano baina ya binadamu...

Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua-TACAIDS

*....yadhamiria kupunguza zaidi Na Faraja Masinde, Gazetini Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kutoka asilimia 7 hadi kufikia asilimia...

Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili...

Chart| Tanzania ilivyoshusha maambukizi ya VVU

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tanzania ni kati ya nchi chache barani Afrika ambazo zinafanya vema katika kupambana na janga la UKIMWI ambapo Takwimu zinaonyesha kuwa...

TACAIDS yawataka wadau kushiriki upatikanaji fedha za Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary, Gazetini-Dodoma Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), imehimiza wadau kutoa ushirikiano kwa maoni na mawazo yao chanya ambayo yataboresho mkakati wa ukusanyaji fedha...

Kamati yaridhishwa namna Magereza Chato linavyotekeleza mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omar, Chato Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetembelea Gereza la Wilaya ya Chato kwa lengo la kujionea namna mwitikio...

TACAIDS Yakutanisha Wadau Kujadili vyanzo endelevu vya Mwitikio wa UKIMWI

Na Nadhifa Omary - TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania - TACAIDS kwa kushirikiana na wadau wamefanya Kikao cha Siku tatu jijini Arusha kwa lengo...

Baraza la Wafanyakazi TACAIDS lafanyika na kupata viongozi wapya

Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dk. Jerome Kamwela, ameongoza kikao cha Baraza la wafanyakazi la Tume...

TACAIDS yakutana na Wadau kupitia rasimu tatu za uratibu wa afua za vijana balehe nchini

Na Nadhifa Omary, TACAIDS Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania kwa kushirikiana na wadau wamekutana kupitia, kujadili na kuthibitisha rasimu tatu za uratibu wa afua za...

Visual| Ushamiri wa VVU Tanzania

Na Faraja Masinde, Gazetini Ripoti mpya ya Utafiti wa Viashiria vya UKIMWI nchini Tanzania inaonesha maambukizi mapya miongoni mwa watu wazima wenye umri zaidi ya miaka...

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya UKIMWI, maambukizi mapya yashuka

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa...

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa...

Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (NACOPHA) latangaza Uongozi mpya

*Lawataka WAVIU kuamka wakatae utegemezi Na Mwandishi Wetu, Morogoro Katika tukio la kihistoria lililomjumuisha Bodi mpya ya uongozi wa Baraza la Kitaifa la Watu Wanaoishi na...

Recent articles

spot_img