26.1 C
Dar es Salaam

Siasa

Na Mwandishi Wetu Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hillary, amefariki dunia alfajiri ya leo Mei 11, 2025. Marehemu Hillary ambaye amefanya kazi ya utangazaji...
Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewataka wananchi kushirikiana kwa karibu na wahifadhi katika kulinda, kutunza na kuhifadhi maeneo yaliyotangazwa kama urithi wa dunia, yakiwemo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa...

Dk. Tulia awataka watanzania kuulinda Muungano kwa wivu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, amesema...

Balozi Nchimbi akabidhiwa ‘kifimbo’ cha Mwalimu

Na Mwandhishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel  Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere,...

Mwenyekiti wa CCM Rorya adaiwa kugawa viongozi wa chama, watendaji

*Kada wa CCM amuomba Wasira washuke kuona yanayoendele, Mwenyekiti Ongujo atoa kauli Na Mwandishi Wetu, Rorya KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka wilayani Rorya mkoani...

Mamady Doumbouya; Luteni wa jeshi aliyepindua Serikali Guinea

SIASA za Afrika Magharibi zimetikiswa na tukio la mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo jeshi la Guinea liliamua kushika hatamu kwa kuipindua Serikali ya Rais...

Infographic| Askofu Gwajima, Silaa kwenye mtego wa kihistoria

HIVI karibuni, siasa za Tanzania zilishuhudia Bunge likiazimia adhabu ya kuwafungia vikao viwili wabunge na makada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Josephat Gwajima...

Infographic|Nini hatima ya Afghanistan chini ya Taliban

WIKI iliyopita, wachambuzi wa masuala ya kiusalama nchini Marekani walionya, wakisema zimebaki wiki chache tu Kundi la Taliban kurudi madarakani nchini Afghanistan. Ikumbukwe kuwa angalizo...

Uchambuzi|Huyu ndiye aliyemng’oa madarakani Edgar Lungu

HATIMAYE Tume ya Uchaguzi ya Zambia imemaliza kazi yake ya msingi, kumtangaza mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, hatua iliyochukua siku tatu za kuhesabu kura. Mgombea...

Recent articles

spot_img