RABAT, Morocco
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...
BUDAPEST, Hungry
HIVI unafahamu kuwa hakuna timu ya soka ya taifa yenye wastani mzuri wa mabao ya kufunga kuliko Hungary katika historia ya fainali za...
MADRID, Hispania
WINGA wa zamani wa Real Madrid, Angel Di Maria, amesema zama za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kutawala mijadala ya soka zimekwisha.
Di Maria...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MACHO yote yataelekezwa Mexico ifikapo Juni 11, 2026 kushuhudia mchezo wa ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu,...
LONDON, Uingereza
ZIMABEKI siku tisa tu. Ni fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026 huko Marekani, Canada na Mexico, zikitarajiwa kufanyika kwa mwezi...
LONDON, Uingereza
Mbali na Maguire, Walker hajafurahisishwa na uamuzi wa Tuchel kutowaita kikosini Luke Shaw na Morgan Gibbs-White.
“Harry Maguire na Luke Shaw walikuwa na viwango...
LONDON, Uingereza
NI siku 10 tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Wakati Argentina...
PANAMA CITY, Panama
FAINALI za Kombe la Dunia ziko njiani, zikiwa zimebaki siku tisa pekee kuanza kushuhudia mataifa 48 yakitoana jasho kwa kipindi cha mwezi...