27.2 C
Dar es Salaam

Kipengele

Visualization| Royal Antwerp; Mabosi wapya wa Samatta ‘wanaoteseka’ Ubelgiji

HIVI karibuni Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, alitua kwa mkopo Royal Antwerp ya Ubelgiji akitokea Fenerbahce ya Ligi Kuu nchini Uturuki. Ifahamike kuwa Samatta...

Infographic| Askofu Gwajima, Silaa kwenye mtego wa kihistoria

HIVI karibuni, siasa za Tanzania zilishuhudia Bunge likiazimia adhabu ya kuwafungia vikao viwili wabunge na makada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Josephat Gwajima...

Infographic| Kilimo; Utajiri unaokumbwa na vikwazo lukuki

Kwa mujibu wa Matokeo ya Sensa ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Mwaka wa Kilimo 2019/2020 yanaonyesha kuwa, kaya nyingi zilikutana na vikwazo mbalimbali...

Visualization| Mlango wa kutokea unavyomuita Arteta

NI miaka takribani 17 bila ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) na Arsenal wameingia msimu huu wakiwa hawana tena matumaini ya kumaliza ndani...

Visualization| Kwanini Ronaldo ameondoka Juve, ametua Man United?

BAADA ya maneno kuwa mengi juu ya hatima yake katika klabu ya Juventus, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo (36), akamaliza utata kwa kurejea...

Infographic| Mwenendo wa chanjo ya corona nchini, elimu zaidi yahitajika

Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto hadi kiufikia Jumamosi Agosti 28, 2021 jumla ya walengwa 304,603 wamepatiwa...

Chati| Soko la nje linavyoitajirisha Tanzania

KATIKA dhana nzima ya utandawazi, haiepukiki kutaja fursa lukuki za kiuchumi zinazotokana na ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi moja na nyingine. Ni kwa...

Infographic| Makundi Afcon 2021, ni vita ya kibabe!

AGOSTI 17, 2021, ilichezeshwa droo ya hatua ya makundi ya fainali za Afcon 2021 zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 9, mwakani. Jina ‘Afcon 2021’...

Ripoti|Kila sekunde 40 mtu mmoja anajiua-WHO

TUNAWEZA kukubaliana kuwa matukio ya wapendwa wetu kujiua yamekuwa yakiacha simanzi kubwa kwenye jamii, labda kuliko hata vifo vingine vya ghafla. Ni changamoto ya maisha,...

Ripoti| Utatuzi migogoro changamoto maeneo ya kazi

RIPOTI ya mwaka huu ya Haki za Binadamu na Biashara imebainisha kuwa bado hakuna mifumo ya utatuzi wa migogoro ya kampuni, hasa kwenye maeneo...

Chati|Sekta ya Utalii ilivyochanua 2015-2021

AMA hakika utalii ni sekta nyeti nchini, kama ilivyo kwa madini, kilimo, na nyinginezo zinazotegemewa kuchangia pato la Taifa. Ndiyo, sekta ya utalii huchangia...

Infographic|Nini hatima ya Afghanistan chini ya Taliban

WIKI iliyopita, wachambuzi wa masuala ya kiusalama nchini Marekani walionya, wakisema zimebaki wiki chache tu Kundi la Taliban kurudi madarakani nchini Afghanistan. Ikumbukwe kuwa angalizo...

Recent articles

spot_img