29.2 C
Dar es Salaam

Kipengele

Visualization| WaterAid inavyokumbusha umuhimu wa maji

Ripoti mpya ya Shirika la Afya Dunaini(WHO) na Shirika la Kuhudumia Watoto Ulimwenguni (UNICEF), iliyotolewa kwenye Siku ya Kunawa mikono Duniani, inaonyesha kwamba...

Sensa 2022| Fahamu idadi ya Watoto Tanzania kwa umri

Na Faraja Masinde, Gazetini Agosti 23, mwaka huu Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya Watu na Makazi ikiwa ni sensa ya sita kufanyika tangu Muungano wa...

Visual| Mkwanja wa Azam na msisimko wake TPL 2021-22

HAKUNA namna nyingine zaidi ya uwekezaji wa maana ndipo maendeleo ya mchezo wa soka yaweze kuonekana. Uwekezaji si tu huziwezesha klabu kumudu gharama za...

Infographic| Makinda wa mishahara minono England

INAFAHAMIKA kuwa ndiyo ligi maarufu na tajiri zaidi duniani, zikithibitisha hilo kwa namna klabu zake zinavyotumia fedha nyingi kwenye soko la usajili barani Ulaya.  Aidha,...

Visualization: Kilimo kinavyohatarisha mazingira

SEKTA ya kilimo imekuwa na tija kubwa kwa maendeleo ya nchi nyingi barani Afrika, ikiwamo Tanzania. Huku kikiwa chanzo cha ajira kwa asilimia zaidi ya...

Infographic| Homa ya uti wa mgongo ni nini?

KWA sasa, ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ni tishio barani Afrika, kwa mujibu wa Shirika la Afya la Kimataifa (WHO). Jamhuri ya...

Rugemalira na msoto wa miaka minne gerezani

NI miaka minne imepita tangu alipokuwa uraiani na hatimaye leo mfanyabiashara James Rugemalira ameuacha mlango wa gereza baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

Visual| Uchumi wa Buluu; Maajabu ya bahari kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TAFITI zimebaini kuwa asilimia 71 ya uso wa dunia ni maji na asilimia 97 ya maji hayo ni bahari. Ikimaanisha, eneo...

Mamady Doumbouya; Luteni wa jeshi aliyepindua Serikali Guinea

SIASA za Afrika Magharibi zimetikiswa na tukio la mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo jeshi la Guinea liliamua kushika hatamu kwa kuipindua Serikali ya Rais...

Visualization| Yaliyojiri usajili kiangazi Ulaya

HATIMAYE dirisha kubwa la usajili ambalo aghalabu hufanyika majira ya kiangazi barani Ulaya, lilifungwa hivi karibuni (Agosti 31). Mengi yalishuhudiwa, kubwa ikiwa ni Lionel...

Visualization| Mitihani Darasa la Saba na ongezeko la watahiniwa

KESHO jumla ya wanafunzi 1,132,143 wataanza mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi (PSLE) kwa mwaka huu na idadi hiyo inatokana na shule 17,585 zilizoko...

Visualization| Mwakinyo na rekodi, ubabe wake ulingoni

JINA la Hassan Mwakinyo limeendelea kuchukua nafasi yake kwenye mchezo wa ngumi za kulipwa hapa nchini, hasa baada ya kumtwanga bondia wa kimataifa wa...

Recent articles

spot_img