TEXAS, Marekani
TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi itachezwa Julai 14, 2026 mjini Texas.
Ufaransa 'Les Bleus' ni mabingwa wa Kombe...
LONDON, Uingereza
NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel Haugseng Johansen.
Walijuana miaka mingi iliyopita, walipokutana wakiwa wachezaji wa timu za vijana...