NEW YORK, Marekani
BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika historia ya Kombe la Dunia.
Lamouchi alifungashiwa virago baada ya Tunisia kufungwa mabao...
NEW YORK, Marekani
MABAO mawili ya Kylian Mbappe na moja la Bradley Barcola yalitosha kuipa timu ya soka ya Ufaransa ushindi wa 3-1 dhidi ya Senegal.
Katika mchezo huo wa kwanza kwa kila timu msimu huu wa Kombe...