29.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Simba  ndoto zao ni kucheza  dabi, yawaita mashabiki kwa Mkapa Juni 15

Na Mwandishi Wetu Pamoja na mkanganyiko uliopo juu ya mchezo dabi ambapo  Yanga wameweka wazi kuwa hawatapeleka timu uwanjani Juni 15, klabu ya Simba imetoa...

Yanga yaishika pabaya TFF, yaibuka na madai mapya

Na Mwandishi Wetu Sakata la Klabu ya Yanga la fedha za zawadi, limeendelea baada ya kutoa tuhuma nyingine kwa Shirikisho la Soka Tanzania( TFF) ambapo...

Rais Samia asisitiza maadili kwa Jeshi la Polisi

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa wahitimu wa kozi ya maafisa na wakaguzi wasaidizi wa Jeshi la Polisi kuwa mabalozi wa maadili na...

Dk. Mpango atoa wito  kwa Mataifa kupunguza uchafuzi wa mazingira, kulinda bioanuwai ya baharini

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa Mataifa kuhakikisha kunakuwa na hatua za pamoja,...

Serikali yatenga bilioni 43 kuimarisha michezo  shuleni

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga  Sh 43 bilioni ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini, kati ya hizo, Sh 32 bilioni ...

Waziri wa afya aitaka Bodi ya Wadhamini  MOI kuimarisha huduma za kibingwa na kibobezi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Afya Jenista Mhagama,  amezindua Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) na kuitaka bodi...

Bado hakijaeleweka, Yanga yakomaa haichezi dabi Juni 15

Na Mwandishi Wetu Licha ya kufanya kikao na uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), leo Juni 9, 2025, Klabu ya Yanga imeendelea  kushikilia msimamo...

Tanzania yaadhimisha Siku ya Bahari Duniani kwa kusisitiza uchumi wa buluu endelevu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Juni 8, 2025, Tanzania iliungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Bahari Duniani — siku muhimu ya kutoa wito wa...

Dk. Biteko aatoa maagizo matatu  Wizara ya Maliasili, asema dunia inaangalia Tanzania na  Afrika Mashariki kuwa kitovu cha utalii

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa maonesho ya utalii ya Karibu– Kilifair yanaendelea kukuwa kimataifa na...

Simbachawene aitaka TSC kuwatendea haki walimu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu...

Gugu asisitiza umuhimu wa ushirikiano Kikanda kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Ally Gugu, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kukabiliana na uhalifu unaovuka...

Makanisa sita ya Gwajima yafungiwa  Mbeya

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyokuwa yakiendelea  na huduma katika maeneo tofauti mkoani...