Na Mwandishi Wetu
Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimehitimisha msimu wa mashindano kwa mujibu wa kalenda yao kwa kupata mabingwa katika michuano ya Taifa ya...
Na Malima Lubasha, Gazetini – Serengeti
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa kupata hati inayoridhisha katika...
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imetangaza uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo utakaofanyika Agosti 16, 2025 jijini Tanga.
Taarifa ya Mwenyekiti...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka wakuu wa mikoa na wilaya nchini kuwaongoza wananchi katika maeneo yao...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Vijana wadogo 295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa kuogelea ya Taifa ambapo Chama cha Mchezo huo Tanzania (TSA), kimesema...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imetoa wito kwa wananchi kubadilika na kuwekeza katika bima ya afya kama njia ya kujiandaa na changamoto za kiafya, ikiwemo gharama...
Na Mwandishi Wetu
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imezindua Kituo cha Huduma kwa wateja, kilichograimu takribani Sh 100 milioni kwa lengo la kuanza kupokea ushauri,maoni...
Na Mwandishi Wetu
Ndege ya abiria ya Shirika la Ndege la India ‘Air India’ iliyokuwa inatokea nchini India kwenda London nchini Uingereza imeanguka na kuwaka moto leo...
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema kuwa inaendelea kufuatilia kwa makini sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba, lakini haitangilia...
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. John Jingu amesema Serikali inaendelea na juhudi mbalimbali kuhakikisha kwamba...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha wawekezaji kutoka China kuwekeza nchini hususan kuendeleza sekta...