Na Mwandishi Wetu
Mwanamke aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi (25) mkazi wa Kata ya Lugubu wilayani Igunga mkoani Tabora, amefariki yeye pamoja na watoto wake wanne...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amefungua rasmi Daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo - Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo...
Na Mwandishi Wetu
Kiwanda cha kwanza kutengeneza na kuunganisha magari Tanzania cha GF Vehicles Assemblers (GFA), kilichopo Kibaha mkoani Pwani , kimesheherekea kufikia utengenezaji wa...
Na Mwandishi Wetu
Kuelekea pambano la Dar Boxing Derby, bondia Iddi Pazi wa Chanika , ametamba kumchapa mpinzani wake Viguro Shafii wa Mabibo watakapopanda ulingoni...
Na Mwandishi Wetu
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishina Msaidizi Richard Abwao, amesema mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Catherine Fito, mwenye umri wa miaka...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia (Must), mwaka wa kwanza, Emilia Joseph (21)...
Na Mwandishi Wetu
Mahakama ya Wilaya ya Kwimba imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela kinyozi wa saluni ya kiume, Lindwa Clement Balthazari (30), mkazi wa...
Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumika kufanyia mazoezi kwa timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON...
Na Mwandishi Wetu
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa, wako vizuri kiakili, yeye kama kocha kazi yake...
Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Juni 16, 2025, amezindua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha MOLI Oil Mills...
Na Mwandishi Wetu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imekubali maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu la kujitetea mwenyewe katika...