30.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mke mkubwa ajiua na wanawe wanne kwa sumu kisa  mume  kumpendelea  huduma mke mdogo

Na Mwandishi Wetu Mwanamke  aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi (25) mkazi wa Kata ya Lugubu wilayani Igunga mkoani Tabora, amefariki yeye pamoja na watoto wake wanne...

Rais Samia azindua Daraja la JP Magufuli

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amefungua rasmi Daraja la  John Pombe Magufuli (Kigongo - Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze...

Rais Samia: Mwelekeo ni elimu ya ujuzi kwa vijana kumudu soko la ajira

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo...

Kiwanda cha GFA chasheherekea uundaji magari 4000 nchini

Na Mwandishi Wetu Kiwanda cha kwanza kutengeneza na kuunganisha magari Tanzania cha GF Vehicles Assemblers (GFA), kilichopo Kibaha mkoani Pwani , kimesheherekea kufikia utengenezaji wa...

Pazi ampiga mkwara Viguro kuelekea Dar Boxing Derby

Na Mwandishi Wetu Kuelekea pambano la Dar Boxing Derby, bondia Iddi Pazi wa Chanika , ametamba kumchapa mpinzani wake Viguro Shafii wa Mabibo watakapopanda ulingoni...

Mwanamke ajiua kwa sumu  kisa mapenzi

Na Mwandishi Wetu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishina Msaidizi Richard Abwao,  amesema mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Catherine Fito, mwenye umri wa miaka...

Mwanafunzi wa chuo amuua mwenzake  wakiwa Club

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia (Must), mwaka wa kwanza, Emilia Joseph (21)...

Kinyozi ahukumiwa  kifungo cha miaka 30 jela kwa kubaka mwanafunzi

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Kwimba imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela kinyozi wa saluni ya kiume, Lindwa Clement Balthazari (30), mkazi wa...

Waziri Mkuu aagiza  kukamilishwa ukarabati viwanja vya mazoezi ya CHAN  2025

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumika kufanyia mazoezi kwa timu zitakazo shiriki michuano ya CHAN Agosti 2025 na AFCON...

Kocha Yanga: Siwaandai wachezaji wangu kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa

Na Mwandishi Wetu Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa,  wako vizuri kiakili, yeye kama kocha kazi yake...

Rais Samia azindua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji Pamba

Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, leo Juni 16, 2025, amezindua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji wa pamba cha MOLI Oil Mills...

Lissu ajitetea mwenyewe mahakamani,  awaweka pembeni  mawakili wake 30

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imekubali maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu la kujitetea mwenyewe katika...